Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Vipi kule Congo refa asingechelewesha kumaliza mpira?Haya mambo siyo, mnarudisha nyuma soka letu na kutia aibu Taifa.
Kulikuwa na haja gani ya kuchelewesha kumaliza mpira? Refa kanunulika waziwazi.