Full Time: Simba SC 2-1 CS Sfaxien | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa National Stadium | Disemba 15,2024

Full Time: Simba SC 2-1 CS Sfaxien | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa National Stadium | Disemba 15,2024

Takwimu zinacheza Mpira? Umetawala takwimu kwakuwa ndio Mpira wa kiafrika timu ikiwa ugenini inataka ijilinde tu na kumwachia mwenyeji Mpira but sio kwamba ndio ubora usijitoe ufahamu!
Hujui mpira kijana,timu imecheza vibaya ina shots 18 kwa 5 ,on target 7 kwa 2,unadhani unaweza kufunga magoli bila on target? Kama kushinda nyumbani ni rahisi mbona nyie mlikandwa 2-0?
 

Attachments

  • Screenshot_20241215-192452.png
    Screenshot_20241215-192452.png
    185.6 KB · Views: 3
Kundi la SImba bado nni gumu sana pamoja na kuwa la timu zisizojulikana kama Sfaxien, Constantin na Bravos. Kwenye grupu hilo timu inayojulikana ni Simba tu; hizo nyinine zote ni za uchochoroni. Mpaka sasa wote wana point 6 kasoro Sfaxien mwenye point 0.

View attachment 3177472
Simba kabakisha mechi Moja nyumbani ya Constantine je ataweza kuchukua alama kwao? Kama sfaxien katoa ulimi kumfunga mpaka mwamuzi kuingilia kati vipi timu yenye kaunafuu kaubora kuliko sfaxien atapata point kwa mkapa? Kule kwa bravos najua atapasuka kwa kuangalia namna bravos anavyocheza kwa sasa wako moto sana na wanaongoza goli 2 bila dhidi ya costsntine
 
Hujui mpira kijana,timu imecheza vibaya ina shots 18 kwa 5 ,on target 7 kwa 2,unadhani unaweza kufunga magoli bila on target? Kama kushinda nyumbani ni rahisi mbona nyie mlikandwa 2-0?
Wewe si ndio yule muha mbishi mbishi,,izo takwimu kama unayo timu Bora mbona azikuonekana Algeria? Timu yoyote ikiwa ugenini kwa Mpira kiafrika inataka ipate sare ivyo mwenyeji lazima awe na umiliki mkubwa kwakuwa ndio anakuwa anahitaji ushindi wa hali na mali acha ubishi!
 
Wewe si ndio yule muha mbishi mbishi,,izo takwimu kama unayo timu Bora mbona azikuonekana Algeria? Timu yoyote ikiwa ugenini kwa Mpira kiafrika inataka ipate sare ivyo mwenyeji lazima awe na umiliki mkubwa kwakuwa ndio anakuwa anahitaji ushindi wa hali na mali acha ubishi!
Ndio maana nakwambia hujui mpira,mie naongelea shots wewe unaleta za umiliki wa mpira,Umesema timu yoyote ikiwa mwenyeji LAZIMA awe ana umiliki mkubwa. Kwani Yanga kule Lubumbashi alikuwa mwenyeji? Mbona unajipinga?
 

Attachments

  • Screenshot_20241215-194328.png
    Screenshot_20241215-194328.png
    156.8 KB · Views: 2
  • Kicheko
Reactions: Tui
Wewe si ndio yule muha mbishi mbishi,,izo takwimu kama unayo timu Bora mbona azikuonekana Algeria? Timu yoyote ikiwa ugenini kwa Mpira kiafrika inataka ipate sare ivyo mwenyeji lazima awe na umiliki mkubwa kwakuwa ndio anakuwa anahitaji ushindi wa hali na mali acha ubishi!
Ndio maana nakwambia hujui mpira,mie naongelea shots wewe unaleta za umiliki wa mpira,Umesema timu yoyote ikiwa mwenyeji LAZIMA awe ana umiliki mkubwa. Kwani Yanga kule Lubumbashi alikuwa mwenyeji? Mbona unajipinga?
 
Ndio maana nakwambia hujui mpira,mie naongelea shots wewe unaleta za umiliki wa mpira,Umesema timu yoyote ikiwa mwenyeji LAZIMA awe ana umiliki mkubwa. Kwani Yanga kule Lubumbashi alikuwa mwenyeji? Mbona unajipinga?
Hizo shots wangepigaje na awafiki kwenye goli la mpinzani? Unaelewa unachokiongea wewe? Wale mda mwingi wako kwenye kujilinda iyo nafasi ya kwenda kushambulia wanaipata mda Gani?
 
Hujui mpira kijana,timu imecheza vibaya ina shots 18 kwa 5 ,on target 7 kwa 2,unadhani unaweza kufunga magoli bila on target? Kama kushinda nyumbani ni rahisi mbona nyie mlikandwa 2-0?
Halafu kwenye hii michezo hatuangalii ball possession bali alama
 
Hizo shots wangepigaje na awafiki kwenye goli la mpinzani? Unaelewa unachokiongea wewe? Wale mda mwingi wako kwenye kujilinda iyo nafasi ya kwenda kushambulia wanaipata mda Gani?
Usikimbie hoja uliyoanzisha, Yanga walikuwa ugenini kule Lubumbashi, mbona wao waluongoza umiliki wa mpira? Kwa nini iwe ni sawa kwa Yanga lakini kwa CS Sfaxien isiwezekane?
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Halafu kwenye hii michezo hatuangalii ball possession bali alama
Uko sahihi but mie nawabishia hao wanaosema Simba wameshinda but wamecheza vibaya, wanatumia vigezo gani?
 
Nafikiri Simba mnaiangalia mechi ya bravos na Constantine saizi,,huu ndio Mpira sasa waarabu wanapelekewa moto na tiyali chuma 2 washagongwa jiandaeni kisaikolojia na timu yenu iyo ya ungaunga mwana
Bravos si ndie mliyemuita mbovu alipocheza,na Simba au kuna mwingine?Ushauri wape Utopolo wenzako wenye pointi 1 mechi 3.Mnapumulia mashine mnangaika na kuishauri Simba.
 
Kundi la SImba bado nni gumu sana pamoja na kuwa la timu zisizojulikana kama Sfaxien, Constantin na Bravos. Kwenye grupu hilo timu inayojulikana ni Simba tu; hizo nyinine zote ni za uchochoroni. Mpaka sasa wote wana point 6 kasoro Sfaxien mwenye point 0.

View attachment 3177472
Sitegemei mtu kama wewe unaweza kusema huifahamu CS Sfaxien, timu ambayo ni mabingwa wa kihistoria wa hili kombe la Shirikisho kwa kulitwaa mara tatu ikiwa Yanga kwa kufika fainali tu viongozi na mabiki wao wanatamba na medali kila siku
 
Back
Top Bottom