NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Kivipi,embu fafanua mkuu.Hadi hapa kwa 95% hata wakiharibu mechi zilizobaki amepita kwenda round inayofuata
Ndio maana nimesema 95% na sio 100% mkuuKivipi,embu fafanua mkuu.
Mfano Simba akipigwa na Vita alafu Vita na Al Ahly wakimpiga tena El Mereck bado Simba atatoboa?
Al Mereick wamekata rufaa CAF wachezaji wake nane wamebambikizwa COVID-19. Simba mnaloMpIraaa umekwishaaa Simba 3 El merick 0
Fisi endelea kufuatilia! Mkono wa mtu unaweza kudondoka ukapata kitoweo! Hayo ndo mawazo ya utopolo!Mpira ni uchawi mkubwa sanaaa. Leo nimeota Simba hawajafuzu robo fainal.
hii ni baada ya kupigwa match zote mbili zilizobaki, hivyo akaringana na Vita club ila Vita ikasonga mbele kwa advantage ya magoli mengi😁 keep waiting. hii coment itakuja kufanyiwa reference wakuu. najua mtasema mm utopolo. sawa ila ndoto zangu zinakuwaga 100%🤣🤣🤣
Sawa mkuu.Ndio maana nimesema 95% na sio 100% mkuu
Siyo Yanga mkipata nafasi, sema simba itakapowabeba utopolo msiende kuaibisha.Simba atakuwa amefuzu robo fainali baada ya kufanya vyema mechi yake ya mwisho dhidi ya As Vita. Otherwise mambo yanaweza badilika na story ikawa nyingine, hivyo wasibweteke, mechi yao na Vita itakuwA Ni fainali amini usiamini, ninachangia Kama mpenda soka. Narudia Tena Simba wasibweteke, hiyo mechi Ni ngumu mno kuliko fikra za wengi. Mungu ibariki Simba, Mungu ibariki Tanzania, sisi Yanga tunaangalia na kujifunza mnakopitia, ili tukipata nafasi nasi tusiwaangushe watz.
Kaka katika mchango wangu umeona Hilo tuu. Hata hivyo nakupongeza ndugu yangu Ila furahini kwa kiasi, usipitilize mkuu.Siyo Yanga mkipata nafasi, sema simba itakapowabeba utopolo msiende kuaibisha.
sawaNi kweli kabisa ulichosema[emoji23]
Ila pole sana mtani,haya kunywa maji basi[emoji23]
chumba gani na ww unaamdika Kwa mihemko kama umekurupushwa ukoKaka chumba sana, tangu lini Samia akawa na serikali?
nani anapimisha Covid? Unakosea timu ya kushabikia usifie watu tokaaaaaaaaaaEl
Al Mereick wamekata rufaa CAF wachezaji wake nane wamebambikizwa COVID-19. Simba mnalo
hujui kituKaka chumba sana, tangu lini Samia akawa na serikali?
Hapo sasa yataangaliwa magoli ya kufunga na kufungwa na wakati mwingine head to head ilikuaje mkuuSawa mkuu.
Kwa mfano Vita akishinda mechi zake zilizobakia na Simba afungwe zote,apo watalingana point kati ya Simba na Vita,je nani atapita apo?
Vipimo hufanyika chini ya Uangalizi wa Madaktari wa CAFEl
Al Mereick wamekata rufaa CAF wachezaji wake nane wamebambikizwa COVID-19. Simba mnalo
Kheri yako mjuajihujui kitu
Subiri kwanza, tunadaiwa kutoa sare moja na AS Vita
Simba atakuwa amefuzu robo fainali baada ya kufanya vyema mechi yake ya mwisho dhidi ya As Vita. Otherwise mambo yanaweza badilika na story ikawa nyingine, hivyo wasibweteke, mechi yao na Vita itakuwA Ni fainali amini usiamini, ninachangia Kama mpenda soka. Narudia Tena Simba wasibweteke, hiyo mechi Ni ngumu mno kuliko fikra za wengi. Mungu ibariki Simba, Mungu ibariki Tanzania, sisi Yanga tunaangalia na kujifunza mnakopitia, ili tukipata nafasi nasi tusiwaangushe watz.
Itategemea AS Vita atamfunga Simba goli ngapi. Ili Vita apite atatakiwa kumfunga Simba pale Kwa Mkapa kwa tofauti ya kuanzia goli 2, yaan 2-0, 3-1 etc.Sawa mkuu.
Kwa mfano Vita akishinda mechi zake zilizobakia na Simba afungwe zote,apo watalingana point kati ya Simba na Vita,je nani atapita apo?
Mimi nadhani kama simba atafungwa game zote na Vita akashinda zote kitakachoangaliwa ni goal difference ambayo mpaka sasa bado inambeba Simba ambaye amefunga magoli 5 na hajafungwa lolote hivyo ana goal difference ya +5, huku Vita amefunga 6 na amefungwa 6 hivyo ana goal difference ya 0.Itategemea AS Vita atamfunga Simba goli ngapi. Ili Vita apite atatakiwa kumfunga Simba pale Kwa Mkapa kwa tofauti ya kuanzia goli 2, yaan 2-0, 3-1 etc.
Maana timu zinapolingana points huangaliwa H2H baina yao. Sijajua kama hii H2H huhusisha pia advantage ya goli za ugenini