Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Mie nilikula saa 6 usiku na lile jua la uwanja ule nimefika kigamboni kwa shida mno qmmke😀😀Nilipatwa Na asira asee
Ngoja tuone mechi zijazo ndugu ila msimu huu tumeishaIlikuwa siku nayo....haitakuwa hivyo sikuzote
Yeah sureNgoja tuone mechi zijazo ndugu ila msimu huu tumeisha
Ulijibu vema mkuu. Muda ni mwalimu.Muda utaongea ni mwalimu mzuri jioni sio mbalii 😁
Inakuuma, chomoa upumzike. Tutakurudia kipindi cha pilimtangazaji anakazq koo utasema mechi ya maana kumbe upumbavu
Mechi ya maana ilikuwa jana Utopolo na JKTmtangazaji anakazq koo utasema mechi ya maana kumbe upumbavu