Achana nao hao wao wanafunga timu za baba yao Gsm...kwasbb nati za magolikipa wanakua wamezilegeza...Yanga ilishindwa kuifunga kibonde MC Alger goli moja tu ili iende robo fainali.
Forward ya Yanga butu sana kimataifa.
Ah siunajua jeshi tukufu halihongekiYa jana hamkuiweka vizuri?
KapombeBahasha ipi tena? Anayo Zimbwe?
Mtoto wa maajabu.
Kuna tapeli .... Aliahidi Kumchangia chasambi hela Jana ... Ila hakufanya ivo!Jamani mimi mgeni humu nauliza tu kwa kutaka kujua huku kuna nini kwani?
Kunywa maji ya kutoshaUnampiga kibonde goli 3 na bado unaona umefanya kazi ya ziada,,prison kwa hali aliyonayo alistahili chuma si chini ya 5,,timu kama hizi yanga ndio anatoa adhabu stahili alafu mnakuja kubetua midomo kwamba yanga anahonga wakati uwezo wenu ndio huo!
Watanzania wengi leo wanamajonziWatanzania wengi wako upande wa Maafande leo.
Taja basi mechi alizoshinda 5 tutaje na mwenzake alizoshinda 5 tulinganisheKwamba msimu huu simba haijashinda hizo tano
Kibonde Mc alger eti,,kwaiyo mc alger ni sawa na prison uliyocheza nayo Leo?Yanga ilishindwa kuifunga kibonde MC Alger goli moja tu ili iende robo fainali.
Forward ya Yanga butu sana kimataifa.
Vyura jeSimba hawana akili.
Ota sasa na mechi ya KMC vs utopwinyo Boka atafunga 😂niliota usiku hii game Mpanzu atafunga leo