Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Achana nao hao wao wanafunga timu za baba yao Gsm...kwasbb nati za magolikipa wanakua wamezilegeza...Yanga ilishindwa kuifunga kibonde MC Alger goli moja tu ili iende robo fainali.
Forward ya Yanga butu sana kimataifa.