mkumbushe sikio la kufaCha Sambi amekuja kweli kutu please
Kijana anataka kujisafisha ...Cha Sambi amekuja kweli kutu please
Tulia wewemkumbushe sikio la kufa
Kapigwa marufuku kupiga 'back pass' ...😂😂😂Yule mchawi asije kutuchomesha tena na leo.
mchawi kalaba hahahahYule mchawi asije kutuchomesha tena na leo.
Ikawe kheri inshallah 😎Utabiri wng ni kolo 1 - 2 kwa wajela jela
Tatizo ni upigaji. Ona alivyopiga Ateba, kamlenga kipa padala ya kupiga kushotoHivi hawa makipa ni uwezo wao siku zote au ni kukamia tu?
Maana hata yule wa Fountain tulimuona akiwa bora lakini mechi iliyofuata akatoa boko
Naunga mkono hojaTatizo ni upigaji. Ona alivyopiga Ateba, kamlenga kipa padala ya kupiga kushoto
Ongezea na hili aliio Kosa mpanzuSimba wamekosa magoli 4 mpaka sasa