Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Sie utopolo tujipange mwakani aisee hii imeenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hawa makipa ni uwezo wao siku zote au ni kukamia tu?
Maana hata yule wa Fountain tulimuona akiwa bora lakini mechi iliyofuata akatoa boko
Acha uchawiDraw hii
Ya kabati au ya meza?Draw hii
Katika kitu kinashangaza msimu huu Simba na Yanga zote zipo kwenye ubora usiopishana. Hakuna mwenye uhakikaSie utopolo tujipange mwakani aisee hii imeenda
Pole mpenz,daah...Sipendi Simba wakifunga💔
Prisons ndo hucheza hivi kila siku,au leo kwa maelekezo maalum!?Jean Charles Ahoua “Mr. KMC Complex”
Ya kabati au ya meza?
Bado hajasema 🤒Prisons ndo hucheza hivi kila siku,au leo kwa maelekezo maalum!?
We Tulia mkuu,....huenda ni sikuyetuMakolo wakishapata goli tu huwa wanajisahau ndo wanapoadhibwa apo 😁
Kama kawaida,hupendi shida za mimba ila unataka mtotoSipendi Simba wakifunga💔
Katika kinachoniudhi zaidi ni hizi timu kuamini hazitakiwi kushindwa wala kutoa drawKatika kitu kinashangaza msimu huu Simba na Yanga zote zipo kwenye ubora usiopishana. Hakuna mwenye uhakika
Eti eenh😂😃😀😆Makolo wakishapata goli tu huwa wanajisahau ndo wanapoadhibwa apo 😁