Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
mpanzu nilishasema awe anatoa pasi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana bado tunajenga teamIla Simba inakosa magoli ya wazi saaana.
Mpira una mambo ya kikatili sanaAaah ila Mpanzu sasa unakosaje kama pale??
hata kama tumetoa droo Jana sio kwa kutuzarau huku 😂Yanga gemu hii angetoa droo
Kariakoo labda kama unamaanisha Yanga na KMCYUle jamaa ni mali msimu ujao usishangae kumuona moja ya kariakoo kama ataendeleza ubora wake halafu jamaa Height inambeba ..
Anatumia Nguvu sana kupigaAaah ila Mpanzu sasa unakosaje kama pale??
We dada upoMechi ya maana ilikuwa jana Utopolo na JKT
Ha ha poleni wauguzi, mwongezi dozi aponeMwajipima nguvu na mgonjwa kitandani
Bahasha we huoniYani Simba wanacheza very confortable aisee😅😅😅 Prisons wakipoteza mpira hawakabi wanatulia tu aisee kama vile wameenda kukamilisha ratiba
Acha kubeza uwekezaji wa watu..Yanga gemu hii angetoa droo
Aisee hata kama bahasha sio hivi😅😅Bahasha we huoni
mfa maji haishi kutapatapaNmetune hapa nione KMC pana nini daah😅😅😅 Prisons washuke daraja tu😅😅 aisee utasema ni timu ya ndondo