Na Vita wamekuwa wakimsifu sana kuwa Mugalu ni hatari, huenda walikuwa wanacheza na akili za kochaanaweza kuwa anatumika na wacongo wenzake
Kagere zile nafasi nne alizo kosa Mugali anatupia tatu au hata zote.Au kagere mzee wa kuvizia, anaweza akatipia
Yes, I knew it!.Ok, next goli la tatu sasa.