Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
Leo msibani watuache kidogo..tutafidia siku ya 22 [emoji1787][emoji1787]Sawa jaman turudi msibani[emoji28][emoji28][emoji28][emoji2211][emoji2211][emoji2211]
Mkuu wale waalgeria nao sio wa kitoto,KILA LA KHERY MNYAMA.Asante Mungu umetuepusha na Mamelod mbwa wale
Morrison alikua unplayable, eidha umkate au aondoke...very lively..Morrison walianza mpiga viatu ila leo alikuwa moto sana....
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Leo msibani watuache kidogo..tutafidia siku ya 22 [emoji1787][emoji1787]
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
1. Simba Sc 13pts (4 wins and 1 draw)Vip ivi ahly akitushinda bao nne tunaweza kuwa group winner
Ha ha itakuwa mechi nzuri sana.Mwisho wake umefika,wale wanapiga nje ndani
Mwenye msimamo group letu atupie
Mamelod tunawaweza wale...timu za waarabu ndio mbaya. Tukikutana na ngozi nyeusi yoyote ni afadhali kwetu...Asante Mungu umetuepusha na Mamelod mbwa wale
Perfect Chikwende Haruhusiwi Kucheza michuano hiiHivi Chikwende majeruhi?
Liverpool all the way.Habari zenu tunazo, daraja chaliii
Mamelod wana balaa
Simba imekuacha mdomo wazi we utopolo.leo mtajua kwamba hamjui
[emoji23][emoji23][emoji23]United msimu ujao tunarudi juu,tutaona kama na nyie mtasema hilo waziwazi.Ukiangalia Body Language za Utopolo unawahisi wazi kuwa wanajisemea "KWELI SIMBA NI YA VIWANGO VYA JUU" lakini tu hawataki kukiri waziwazi [emoji23][emoji23][emoji23]
Akitunga anaishia point 11. Sisi tuna 13 Hawezi kutufikia mpaka sasa sisi ni group winner na mechi Moja mkononi.Vip ivi ahly akitushinda bao nne tunaweza kuwa group winner
AminaAsante Mungu umetuepusha na Mamelod mbwa wale