Anacheza nafasi ya Beki mbili. Asante Kwasi, alikuwa anacheza beki tatu lakini alikuwa na uwezo mkubwa sana wa kufunga magoli.Hivi hiyo hadi sasa ana goli ngapi?
Waarabu weupe wanapataga shida sana kwa waarabu weusi. Nafikiri wanajuana. Sio al ahly tu ni mwarabu mweupe yoyote khartoum huwa pabayaIla ukijiuliza mpira el melick ya kutoka suluhu na Al ahly kweli?
Sawa kabisa , D Juma pia wamuhimu pamoja na central back mmoja kwa nafasi ya wawaSawa Mkuu.
Pale mbele tungeisimamisha mashine kama Prince Dube wa Azam, leo Vita wangekula hata gol saba.
Zile kosa kosa za Mugalu nisula zinipe ugonjwa wa Presha.
Nafasi moja ni muhimu sana katika mashindano makubwa.
Peter anatosha sana, Mo atafute striker la nguvu hata la 600m, anaweza kumuongeza Manyama amsaidie Zimbwe JrSawa kabisa , D Juma pia wamuhimu pamoja na central back mmoja kwa nafasi ya wawa
Manyama hajui kukaba,lakini ni mzuri akiwa na mpira.Peter anatosha sana, Mo atafute striker la nguvu hata la 600m, anaweza kumuongeza Manyama amsaidie Zimbwe Jr
Prince dube hajafikia level za champions league...acheni kukurupuka!Sawa Mkuu.
Pale mbele tungeisimamisha mashine kama Prince Dube wa Azam, leo Vita wangekula hata gol saba.
Zile kosa kosa za Mugalu nisula zinipe ugonjwa wa Presha.
Nafasi moja ni muhimu sana katika mashindano makubwa.
Sawa MkuuPrince dube hajafikia level za champions league...acheni kukurupuka!
Atazoea hukohuko:Prince dube hajafikia level za champions league...acheni kukurupuka!
Kikoozi kimepona?Heri ujinga wa kuuza kuliko ubaradhuli wa kununua. Ulikuwa unasema???simba leo anakufa gori 2 bila kama amesimama
Tunahitaji striker ni kweli ila sio dube...Atazoea hukohuko:
Next season Kagere atafute malisho kwingine..
Huyu Mugalu naye trend yake haijakaa sawa:
By the way Mduwa sijui mduva central back ile imepotelea wapi
Siku hizi huwezi kuwakuta humu....Shadeeya i miss you
Yaani nimekuona hapa roho yangu kwatuπ. Lini twaenda dinner kusindikiza mafanikio ya robo fainali?Hahahahaaa. Lol.
Haya bana.