mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Achana na Mugalu, Hilo ni bonge la striker!! Kocha anajua hivyo! Ndiyo maana anampa nafasi!! Anamtengeneza! Akiwa tayari Moto wake si wa kitoto!! Mugalu Ana manufaa makubwa pale mbele !!Golikipa kazuia shuti moja tu kati ya nafasi tatu za wazi alizozipata.
Nafasi mbili kapiga nje ya Lango akiwa peke yake ndani ya 18.
Nafasi ya mwisho kapiga sawasawa na alivyopiga aliyekuwa mshambuliaji wa Yanga "Yikpe'
Yaani futi sita yeye na goli, hakuna anayembugudhi kapiga mpira uliokaribia kugusa kubebdela cha kona.
Ndo maana Kocha alimpumzisha na matokeo ya ile Sub wote tumeyaona.
Mugallu lazima ajitathmini.
Manufaa yepi hebu yaeleze hapa, mechi zote za CAF hana goli la move zaidi ya ile penati ya Kongo.Achana na Mugalu, Hilo ni bonge la striker!! Kocha anajua hivyo! Ndiyo maana anampa nafasi!! Anamtengeneza! Akiwa tayari Moto wake si wa kitoto!! Mugalu Ana manufaa makubwa pale mbele !!
Kwa nafasi wanazotengeneza Simba anaonekana atakuwa anafunga sana hatuna mtu wa.mwisho kumalizia nafasiPrince dube hajafikia level za champions league...acheni kukurupuka!
Wamesahau walivyokuwa wanaenda kupokea timu za wageniHee...
Si mliwnza na kusema kwa wanaijeria plateau ghafla ni mpaka kuvuka robo fainali?
Dube na Kagere nani anaweza kuwa mmaliziaji mzuri tena sio mzuri tu mmaliziaji mzuri katika mazingira magumu ya kufunga.Kwa nafasi wanazotengeneza Simba anaonekana atakuwa anafunga sana hatuna mtu wa.mwisho kumalizia nafasi
Angalia takwimu zao kwa idadi ya mechi walizocheza nq magoli waliyofungaDube na Kagere nani anaweza kuwa mmaliziaji mzuri tena sio mzuri tu mmaliziaji mzuri katika mazingira magumu ya kufunga.
Na el merhek kafunga aliua gambani akatandika nyavu ndogo kama sikosei chuma cha tatu cross assist kutoka kwa MiqiussoneManufaa yepi hebu yaeleze hapa, mechi zote za CAF hana goli la move zaidi ya ile penati ya Kongo.
Mechi na Vita kwa Mkapa alivyotolewa ndo magoli mawili yakapatikana kwa haraka.
Goli alilokosa la mwisho hadi kocha alishika kichwa na hakuchelewesha kumtoa.
Sijawahi sikia duniani mshambuliaji anasajiriwa ili awe Mkabaji badala ya Mfungaji.
Ndo nasikia kwa mara ya kwanza.
Dube na Kagere nani anaweza kuwa mmaliziaji mzuri tena sio mzuri tu mmaliziaji mzuri katika mazingira magumu ya kufunga
Ni kweli, pia kwa Nchi ni Mara ya Kwanza na huenda hata Africa Mashariki,huendaHaya ndio mafanikio makubwa toka dunia iumbwe timu yetu ya Simba kuyapata katika ngazi ya group stage .. I mean kuwa group winner ..Kama Kuna makosa wabobezi wanisahihishe
Dunia nzima Lone Striker anayefunga bao nyingi ni Robert Lewandowsk tu.na Labda ni kwa Vile Robert anacheza Lone team inapokuwa haina mpira lakini wakiwa na mpira wanakuja wote wote hivyo u lone striker unapotea.Huu mfumo wa Mshambuliaji mmoja unaleta mzigo sana kwa mshambuliaji na kufanya idadi ya magoli ipungue.Manufaa yepi hebu yaeleze hapa, mechi zote za CAF hana goli la move zaidi ya ile penati ya Kongo.
Mechi na Vita kwa Mkapa alivyotolewa ndo magoli mawili yakapatikana kwa haraka.
Goli alilokosa la mwisho hadi kocha alishika kichwa na hakuchelewesha kumtoa.
Sijawahi sikia duniani mshambuliaji anasajiriwa ili awe Mkabaji badala ya Mfungaji.
Ndo nasikia kwa mara ya kwanza.
Doooh!!Y
Yaani nimekuona hapa roho yangu kwatuπ. Lini twaenda dinner kusindikiza mafanikio ya robo fainali?
Duuh!!Y
Yaani nimekuona hapa roho yangu kwatuπ. Lini twaenda dinner kusindikiza mafanikio ya robo fainali?
Safari hii tunabeba kombe kabisaπππ. Jiandae na safari ya ZanzibarDuuh!!
Hivyo Mtani bila kufika robo hii dinner ningeisikia kwenye bomba. Lol πππ
Wewe una akili kuliko kocha wetu? Kumbuka kocha anapanga timu kutokana na jinsi alivyowaona wachezaji kwenye mazoezi. Pia anapanga kutokana na falsafa yake ya mpira! Hayo yote wewe huyajui!! Mpeni kocha uhuru na nafasi ya kupanga timu! Ahukumiwe kwa matokeo ya jumla na si kwa makosa ya mtu mmoja mmoja! Kuna siku Mugalu atawashangaza! Mugalu ni fighter! Ni suala la muda tu!Manufaa yepi hebu yaeleze hapa, mechi zote za CAF hana goli la move zaidi ya ile penati ya Kongo.
Mechi na Vita kwa Mkapa alivyotolewa ndo magoli mawili yakapatikana kwa haraka.
Goli alilokosa la mwisho hadi kocha alishika kichwa na hakuchelewesha kumtoa.
Sijawahi sikia duniani mshambuliaji anasajiriwa ili awe Mkabaji badala ya Mfungaji.
Ndo nasikia kwa mara ya kwanza.
Vp leo Bocco kafanyaje, whether u hate or love him, Mugalu ni mtu na nusuIla huyu Mugalu atakuwa ana limbwata sio bure....yaani anasifiwa sana halafu uwanjani ni low class striker....
Anapangwa kila mechi....itakuwa anatumia vumbi la Congo.
πIla huyu Mugalu atakuwa ana limbwata sio bure....yaani anasifiwa sana halafu uwanjani ni low class striker....
Anapangwa kila mechi....itakuwa anatumia vumbi la Congo.
Shadeeeπ€£π€£π€£π€£π€£Duuh!!
Hivyo Mtani bila kufika robo hii dinner ningeisikia kwenye bomba. Lol πππ
πππ Haya bana.Shadeeeπ€£π€£π€£π€£π€£
πππ Haya ba
Pole mtaniπ€£π€£π€£πππ Haya bana.