FULL TIME: Simba Sc 4-1 AS Vita | CAFCL | Mkapa Stadium

Nini anafanya mugalu
Kajifanya kuwa mbuzi wa kafala kwa lolote baya litakalo tokea mbele ya safari,japo hatuombei iwe hvyoπŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Beki za simba zisipande Sana na kukatika maana Vita wanatumia mipira mirefu na wanaoonekana wako vizuri kwa mchezaji mmja mmja
 
Kmmmk Mugallu atoke

Huyu punda hachezi upande wetu, anawasaidia wakongo wenzake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…