Vuta subira...Ni mechi ya kirafiki lakini nimeshangazwa na mpira uliochezwa hasa kipindi cha pili.
Hii sio Simba, Simba sio timu ya kushindwa kupiga hata pasi 3 . Ni butua butua kipindi cha pili chote.
Hamna timu hapo usijifariji mkuuVuta subira...
Leo ilikuwa sherehe
Au unadhani TP Mazembe ni kama Utopolo au IHEFU?
Team kabambe ilikuwa Nigeria bhanaKalale, kuanzia asubuhi ulikuwa unapiga umbea huku kama vile mna timu.
Striker ipo vizuri mkuu, nafasi ya chama na Luis Miquissone zinaonekana kabisa
Asprin nakehushimu sana, hii inamaana ganiAchana na huyo
Saa 2 na nusu usikuDk ya ngapi
Ulitegemea Simba waifunge Tp mazembe,Ata hao kina chama wangekuwepo hilo lisingewezekana.Ambacho simba angeweza kukifanya ni kutoa droo ila sio kuwafunga mazembe.Hao jamaa mpira wao umetulia sana na wamekamilika kote.Simba wamecheza vizuri nikiasi cha kocha kurekebisha makosa madogo madogo tu ili timu ipate muunganiko.Me nililiona tangu mwanzo, mpira tunacheza sio uke wa misimu miwili ya nyuma.Tumeanza kwa kuunajisi uwanja wa Mkapa katika mechi za kimataifa.
Hii Simba Sc siioni ikifika mbali kabisa, inatakiwa mabadiliko ya haja kwenye hiki kikosi.
Nadhani makosa ya kuuza Chama na Miquisone kwa mkupuo sasa yanaonekana, team imekosea waanzisha mashambulizi imebakia kubutuabutua tu.
Hapa hakuna cha kusema tumefungwa kwa bahati, Tp Mazembe wametuchezea mpira kwelikweli.
Kanoute na Sakho Simba imelamba dume.Kanoute ni mtu. Sakho ni mtu.
Bwalya na Morrison wanazidi kuonyesha ni namna gani walikuwa wanastahili kukaa benchi.
Yani Kagere kaingia lakini humwoni [emoji23][emoji23]hii forward ya Kagere na Mugalu ni ya kucheza na kina IHEFU na NDANDA.
Hahahaha sawa mkuuMkuu
With all due respect
One post was enough
I know unakunywa pombe… ila usiruhusu ikuvue nguo
We have been friends since 2008 but this is not right at all
Halishindi ub€€€00 wa wanaijeria,, rudi nyumbani ukate vitunguu,, waachie wanaume wakupambanie mwakani uje tenaHili vumbi la congo si mchezo,, yalikua bize kushangilia kufungwa kwa Yanga.
Kanoute anakata sana umeme. Anajituma. Anaweka hata kichwa pakuweka mguu. Sakho ni fighter. Akiupata mpira unaona akili ya mchezaji imo.Kanoute na Sakho Simba imelamba dume.
Sakho, kanoute na Banda wote ni watu ila hawapo aggressive sanaKanoute na Sakho Simba imelamba dume.