Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba kaliwa taifa na kamsemo kake eti kwa Mkapa hatoki mtu.Kwani kuna habari gani!
Let's update sasaLeo ni siku maalum ya kula na kufurahia Biriani la Mnyama mkali Simba SC, hakuna kama Simba.
SIMBA NGUVU MOJA
Chips zimeiva?Huku Banda huku Sakho
Watu watakaanga chipsi sana leo
Hivi yule Ndugai Mgalilaya alikuwepo uwanjani, nauliza tafadhali
Mmetishwa ninyi leoMkuu siyo vizuri hivyo kuwatisha Yanga, waache wapumzike.
MgalilayaShida na gundu limeanzia hapa,kuna watu hawafai kua wageni View attachment 1945339
Shida na gundu limeanzia hapa,kuna watu hawafai kua wageni View attachment 1945339
MgalilayaShida na gundu limeanzia hapa,kuna watu hawafai kua wageni View attachment 1945339
Mi naona hata hivyo Simba ni nzuri na imejitajidi sana, wale Mazembe hakuna mwenye mapungufu wanaupiga sanaTuna timu changa sana aisee tukubali tu ile chemistry ya mazembe tusingeiweza
Mkuu hii timu mapungufu yake ni madogo, we Mazembe umewaonaje , tukutane na timu nyingine utawaona simba ni wazuri, mbona hata Mazembe tumekazaTukifanikiwa kuingia makundi tujiandae tu kisaikolojia hatuna timu ya kufika robo labda mwakani....
Mkuu ndo nimefika muda si mrefu bahati nzuri nimejikuta mechi kwenye dk ya 35, tangu hiyo dk naona tunapigwa msako hatari, team haikai kabisa na mpira.
Inamaana Chama na Miquisone ndo walikuwa na impact kubwa kiasi hiki??? [emoji15] Maana team imebadilika kabisa.
Binafsi kwa uchezaji huu, inabidi tukaze mazoezi kuelekea CCL.
Inawezekana wote mnapoint lakini mnashindwa kuelewana. Ukweli ni kwamba Chama na Miquissone walikuwa ni zaidi ya wapishi. Walikuwa wana full package, naposema full package namanisha wana uwezo kuanzisha mashumbulizi, wana uwezo wa kupiga pasi za mwisho, wana uwezo wa kufosi kupenya katikati ya mabeki, wana uwezo wa kufunga. Ni watu ambao wakubadilisha mchezoMpira hauko Hivyo Mkuu, Chama Ilimchukua Muda gani Kujihakikishia Namba Simba Na Kuingia Kwenye Mfumo?, Luis Ilimchukua Muda Gani? Hatujacheza Hata Mechi Moja Ya Ushindani Mnaanza Kusema Kuna Pengo La Chama Na Luis! Mtakapo Kosea Ni Kuwafananisha Wachezaji Waliopo Na Walio Ondoka, Tulieni Kocha Atengeneze Wachezaji Wengine. Na Kwa Jinsi Walivyocheza Leo Wachezaji Wetu Wapya Ni Dhahiri huu ni Usajiri Bora, Angalia Pass anazopiga Kanute, Angalia Namna Sakho Anavyotengeneza Nafasi Angalia Uchezaji Wa Banda! Simba Ni Suala La Muda Tuuu Japo Pale Mbele Ndio hatuna Striker si Kagere, Si Mugalu si Bokko