FULL TIME: Simba Vs TP Mazembe(0-1) | Simba Day | Mkapa Stadium

Kitu ningependa tufanye tuanze kupunguza wakongwe ambao viwango vyao vinaendelea kushuka tu kila msimu na kuongeza damu mpya changa kama Banda na Sakho

Ingekuwa vyema kama huu ungekuwa msimu wa mwisho kwa;
  • Kagere
  • Boko
  • Ajibu
  • Mkude
  • Nyoni
  • Wawa
 
Tuna timu changa sana aisee tukubali tu ile chemistry ya mazembe tusingeiweza
Mi naona hata hivyo Simba ni nzuri na imejitajidi sana, wale Mazembe hakuna mwenye mapungufu wanaupiga sana
 
Tukifanikiwa kuingia makundi tujiandae tu kisaikolojia hatuna timu ya kufika robo labda mwakani....
Mkuu hii timu mapungufu yake ni madogo, we Mazembe umewaonaje , tukutane na timu nyingine utawaona simba ni wazuri, mbona hata Mazembe tumekaza
 

Utopolo pole kwa maumivu huko Nigeria
 
Inawezekana wote mnapoint lakini mnashindwa kuelewana. Ukweli ni kwamba Chama na Miquissone walikuwa ni zaidi ya wapishi. Walikuwa wana full package, naposema full package namanisha wana uwezo kuanzisha mashumbulizi, wana uwezo wa kupiga pasi za mwisho, wana uwezo wa kufosi kupenya katikati ya mabeki, wana uwezo wa kufunga. Ni watu ambao wakubadilisha mchezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…