FULL TIME: Simba Vs TP Mazembe(0-1) | Simba Day | Mkapa Stadium

FULL TIME: Simba Vs TP Mazembe(0-1) | Simba Day | Mkapa Stadium

Hili Tamasha Mwakani lifanyike JumaTano, Bila Shaka Serikali Itaifanya siku ya Mapumziko Ili Kila Mtanzania Afuatilie Kinachoendelea Taifa
Yani WANANCHI waache kazi wawafuatilie MAMBUMBUMBU !!
 
Picha ya Nigeria hiyo. Yaan uto kama uto wana asilimia 22 pekee kushinda.
Screenshot_20210919-161624_Chrome.jpg
 
Sawa wazee wa picha za maktaba
Na washauri tu wekeni picha halisi za uwanja Coz Mm niko uwanjani na hali halisi naiona na magap ni makubwa sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ngoja baadae RIVERS akunyooshe akili itakukaa sawa tu.
 
🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ngoja baadae RIVERS akunyooshe akili itakukaa sawa tu.
🤣☝️🤣🤣🤣💯

Halaf bado hawajapigwa korona.
 
Video kwa mujibu wa maktaba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nenda banda la mpira km huna king'amuzi nchi ya [emoji881] afu kuujaza uwanja now day kwa simba sio kitu mzee
 
Back
Top Bottom