FULL TIME: Simba Vs TP Mazembe(0-1) | Simba Day | Mkapa Stadium

FULL TIME: Simba Vs TP Mazembe(0-1) | Simba Day | Mkapa Stadium

Simba mnapata wapi ujasiri wa kujibu humu, rasmi Simba siyo timu ya mpira ila kikundi cha wahuni. Mlituaminisha mmefanya pre season nzuri huko Morocco na mkipiga mechi zaidi ya tano za majaribio, mwisho wa siku hata pasi haziendi.
Achilia mbali kulenga goli. Walikuwa wanakimbia kimbia kama wezi.

Huu ni mwanzo tu
 
Simba mnapata wapi ujasiri wa kujibu humu, rasmi Simba siyo timu ya mpira ila kikundi cha wahuni. Mlituaminisha mmefanya pre season nzuri huko Morocco na mkipiga mechi zaidi ya tano za majaribio, mwisho wa siku hata pasi haziendi.
Mazembe angefungwa mngekuja na maneno ya kuwa Mazembe wameshuka kiwango kitu ambacho mlianza kusema mapema sana.
Halafu Utopolo mlivyo wajinga mnajua kwamba Simba kufungwa na TP Mazembe tayari wametolewa Champions League.
 
Mazembe angefungwa mngekuja na maneno ya kuwa Mazembe wameshuka kiwango kitu ambacho mlianza kusema mapema sana.
Halafu Utopolo mlivyo wajinga mnajua kwamba Simba kufungwa na TP Mazembe tayari wametolewa Champions League.
Simba akichoropoka hatua ya kwanza, anafia kwenye makundi. Tusitarajie tena kucheza na timu zenye corona.
 
Hii Simba ni nzuri sana. Leo imefungwa kwa obvious reasons. Kocha alipitiwa na kufanya makosa yaliyoigharimu Simba katika mechi hii. Hakuwa na sababu yoyote ya kumuingiza Kagere kwa kumtoa Bwalya. Alipaswa pale ima aingie Mzamiru au Mkude.

Beki zote zimecheza kwa kujisahau. Wamezidiwa kwa mbali kwenye kujipanga na beki za Simba Queen (Fatma Maonyo na Julieta Singano). Kennedy Juma atumike sana, uwezo wake mzuri na yuko serious na kazi. Mohammed Hussein ni kama ana machepele, mzito kufanya maamuzi pamoja na kitete kingi leo. Morrison anahitaji psychologist zaidi kuliko aina nyingine ya mazoezi. Israh Patrick awezeshwe awe supersub wa fullback left au right. Bwalya ajengewe uwezo wa kucheza dakika zote 90. Kagere alichotufanyia Simba kinatutosha malizeni naye. Kanoute, Sakho, Duncan Nyoni, Kibu na Banda ni hazina muda mfupi ujao.

Mugalu ajirekebishe, ile style ya kukosa nafasi za wazi inaigharimu sana timu. Kuna maeneo si ya kukosa ksbisaaa. Mwisho wa yote tumecheza na timu nzuri sana hivyo si rahisi kutimia kwa mbinu zote alizofundisha kocha.
 
Wewe dada kumbe ni mpumbavu sana, sisi wengine hatuna ushabiki wa kijinga mpaka tushindwe kueleza madhaifu ya team hata kama yanaoneka waziwazi.

Yani tushindwe kujadili timu kisa tutaitwa utopolo? Kwahiyo Ili uwe Simba ni lazima usuport Kila kitu hata kama ni kibovu? Kila mtu si kaona kabisa mpira tumepigiwa au we unaona tumecheza vizuri? Yani team ituaibishe kisha tusiseme? Acha upumbavu kabisa.

Tafuta uthibitisho wowote humu uone kama mimi niliwahi kuwa Yanga , ukiuokosa ujue wewe ni 🖕.
Utopolo pole kwa maumivu huko Nigeria
 
Ulitegemea Simba waifunge Tp mazembe,Ata hao kina chama wangekuwepo hilo lisingewezekana.Ambacho simba angeweza kukifanya ni kutoa droo ila sio kuwafunga mazembe.Hao jamaa mpira wao umetulia sana na wamekamilika kote.Simba wamecheza vizuri nikiasi cha kocha kurekebisha makosa madogo madogo tu ili timu ipate muunganiko.
Unaizungumzia hiihii Tp Mazembe iliyopewa ubingwa wa mezani baada ya As Vita kupokwa points? Hiihii ambayo msimu iliyopita kwenye CCL imepigwa karibia mechi zote ikatoka na alama tatu tu katika mechi zote za kundi?

Mkuu Mazembe wameonekana wakali kutokana na kuongezeka kwa mapungufu katika kikosi chetu, hii Mazembe haupo form kama ile ya miaka ya nyuma,ingekuwa ile kwa huu uchezaji tungepigwa hata Tatu.

Kwenye mechi ya leo. Simba sc ilikosa waanzisha mashambulizi waziri,nafasi ambayo Chama na Miquisone waliitendea haki mara zote kiasi kwamba tulikuwa tunaonekana threat kwa wapinzani tukianza kupanda tofauti na leo team inakaba tu.

Ngoja tuone.
 
Mugalu ni mzigo kwa timu ya Simba.
Linakosa goli linacheka cheka tu, halipo siriaz kabisa.

Mugalu anaighalimu sana timu sijui kocha analipendea nini.

Kaniudhi sana na ataendelea kuighalimu timu.

Kocha ana ajenda ya kuihujumu timu.
Akimtumia Mugalu. Anarukaruka tu hata hakuna anachokifanya na anaachwa tu.
Mugalu na Morrison wana masihara sana.
 
Mugalu ni mzigo kwa timu ya Simba.
Linakosa goli linacheka cheka tu, halipo siriaz kabisa.

Mugalu anaighalimu sana timu sijui kocha analipendea nini.

Kaniudhi sana na ataendelea kuighalimu timu.

Kocha ana ajenda ya kuihujumu timu.
Akimtumia Mugalu. Anarukaruka tu hata hakuna anachokifanya na anaachwa tu.
Mugalu na Morrison wana masihara sana.
Heeee tena?
Katika yote ya kulaumu we umeona mugalu tu?
 
Malengo gani wameyatimiza[emoji3][emoji3]

Karibu Tuendeleze Mada Mkuu....
Eeee Hela Mmepata Biiiillioniiii .....
Moira Biasharaaaa...[emoji2][emoji2][emoji30]
Sasa Ona Kilichotikea leo Tarehe 25/9/2021 Uwanja wa Taifa!!!
Nilijua Juu itatokea hivyo,
Nadhani sasa hivi unaweza anza kunielewa...
 
Karibu Tuendeleze Mada Mkuu....
Eeee Hela Mmepata Biiiillioniiii .....
Moira Biasharaaaa...[emoji2][emoji2][emoji30]
Sasa Ona Kilichotikea leo Tarehe 25/9/2021 Uwanja wa Taifa!!!
Nilijua Juu itatokea hivyo,
Nadhani sasa hivi unaweza anza kunielewa...
Nikuelewe nini mara ngapi yanga wametufunga chama na miq wakiwepo.....
 
Mtani ze-dudu with simba respect Naona kabisa Chama na Miquissone hii game walikuwa wanaimaliza

Kumbuka game za Nkana mnaenda makundi, game ya As vita mnaenda robo fainal huyo chama anavyo amua game yeye mwenyewe

Kumbuka game ya vita ugenini mwaka jana Miquissone anapunguza defenders anaingia ndani ya box anawekwa chini inakuwa penati mnapata ushindi ugenini na pia game ya Al Ahly kwa uwezo binafsi ana amua game kwa Goli moja mnashinda yaani anaamua game mbili kwenye makundi peke yake

Je hao kanoute na Sakho watakuwa na uwezo huo

Mkuu Hata Leo Mawazo Bado Yanathamani,
Huwezi Kuuza Suruali yako au Suti yako wakati huna Nguo nyingine ya Kuvalia Harusini!
Huwezi Kuuza Forward wawili wakali kwa Mpiga Namna hiyo Ukaacha Kupigwa kaka,
Walichofanya wamefanya Biashara tuu kuwauza Over..[emoji30]
 
Mpira hauko Hivyo Mkuu, Chama Ilimchukua Muda gani Kujihakikishia Namba Simba Na Kuingia Kwenye Mfumo?, Luis Ilimchukua Muda Gani? Hatujacheza Hata Mechi Moja Ya Ushindani Mnaanza Kusema Kuna Pengo La Chama Na Luis! Mtakapo Kosea Ni Kuwafananisha Wachezaji Waliopo Na Walio Ondoka, Tulieni Kocha Atengeneze Wachezaji Wengine. Na Kwa Jinsi Walivyocheza Leo Wachezaji Wetu Wapya Ni Dhahiri huu ni Usajiri Bora, Angalia Pass anazopiga Kanute, Angalia Namna Sakho Anavyotengeneza Nafasi Angalia Uchezaji Wa Banda! Simba Ni Suala La Muda Tuuu Japo Pale Mbele Ndio hatuna Striker si Kagere, Si Mugalu si Bokko

Leo Nadhani Majibu Umeyapata...
Watu wamekuka Hela Za Biashara! Eti Mpira Biashara,Eti angalau Wangeuzwa Mwakani sawa,Hawa Kina Sakho kanoute wangekuwa wameshaanza Kuwa na Kitu!
Haya Mmeuza Biiiiilllioniiiii[emoji851][emoji30][emoji30]
Ona Kilichotokea leo tarehe 25/9/2021 uwanja wa Taifa.
 
Back
Top Bottom