Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,842
- 6,087
KweliWameshaathiriwa psychologically, kila kosa wanalofanya kisha Simba Sc ika capitalize wao wanahisi wameonewa.
Sasa kama hilo goli, Metacha analalamikia nini chenye mashiko pale.?
Ndio kazi yake
kwa mahaba haya ya refa inawezekanaSingida Wamekosa Nidhamu ya mchezo huu na wakiendelea Hivi Wanaweza Pata kadi Nyekundu
Maagizi ya kuahidiwa ml 100?mods gani ahangaike na mechi ya maagizo
Wana wa GSM mtasema yote ila goli limeshaingia tena la kichwa na si mkono 😂😂Kazingua sana
hamza ajaruka kamtegea kipa mkuuKipa hata hakuguswa ni timing yake mbovu
Ni goli ambalo halihitaji mjadala wowote kama lile lililofungwa kwa mkono.wachambuzi wanajikanyaga hahahaha
wanyooke kwamba hamza hakuruka alitegesha mgongo ni faulo mambo ya kuzunguka zunguka hayana maana
Ubaya ubwelawachambuzi wanajikanyaga hahahaha
wanyooke kwamba hamza hakuruka alitegesha mgongo ni faulo mambo ya kuzunguka zunguka hayana maana
Madilu and coNani aliyewapa maagizo?
la mkono lipi sasa la argentina vs england ama lipi mkuuNi goli ambalo halihitaji mjadala wowote kama lile lililofungwa kwa mkono.
Wapo Liti stadium mida hii 😂Mods mmelala?
Kipa hadi anatoka goli umbali wote ule kufata mpira ambao hata hivyo aliukosa, iliyakiwa Hamza ampishe ili kipa auchukue mpira kiulaini sio.?hamza ajaruka kamtegea kipa mkuu
wapi tumesema apishwe ilitakiwa apambanie mpira sio kutega mgongoKipa hadi anatoka goli umbali wote ule kufata mpira ambao hata hivyo aliukosa, iliyakiwa Hamza ampishe ili kipa auchukue mpira kiulaini sio.?
Yani Metacha apishwe baada ya kutoka golini kwa umbali ule bila timing yenye uhakika.?
Hili ni oni la Mchambuzi mmoja sio maoni ya wachambuzi. Kipa wa Singida alikosea mahesabu kwa kukimbilia mpira ambao uwezekano wa kuufikia ulikuwa mdogo. Hamza hakumfata kipa, kipa ndo kamfata Hamza na Hamza akatulia hakuruka.wachambuzi wanajikanyaga hahahaha
wanyooke kwamba hamza hakuruka alitegesha mgongo ni faulo mambo ya kuzunguka zunguka hayana maana
Mbona wachambuzi wote wameongea clear bila kupepesa kuwa hakukuwa na faulo pale na ni clear goal au ulitaka kusikia kile unachotamani kusikia wewe?wachambuzi wanajikanyaga hahahaha
wanyooke kwamba hamza hakuruka alitegesha mgongo ni faulo mambo ya kuzunguka zunguka hayana maana
mkuu kwamba ujaona wanababaika baada ya jamaa kuuliza wamewah chambua mtu akiweka mgongo bila kuruka ni fauloMbona wachambuzi wote wameongea clear bila kupepesa kuwa hakukuwa na faulo pale na ni clear goal au ulitaka kusikia kile unachotamani kusikia wewe?
Angepambania ule mpira asingeukuta na ingekuwa faulu sababu angeonekana anapambana na kipa badala ya mpira, kipa alikosea kufata mpira asioweza kuufikia.wapi tumesema apishwe ilitakiwa apambanie mpira sio kutega mgongo