Tarehe 27 mwezi wa kwanza mwaka 2021 al hilal chini ya florent ibenge walikufa 4 moja kwa mkapa.
Kipindi hicho sudani hakuna vita na al hilal wametimia kipindi hicho ulikuwa bado upo kijijini kwenu mpwayungu huijui jf huna smartphone wala tv hujazijua ukiona gari au pikipiki unakimbia.
Tp englabaa mazembe hawa waliojichokea hata ken gold anawafunga.
Unamjua tresor mputu wewe? Kidiaba? Muleka je? Hawa jamaa sio simba tu hata waarabu waliwashindwa