pesakilakitu
JF-Expert Member
- Aug 17, 2024
- 1,618
- 2,861
Njoo unywe bia hapa gwamaka pub and lounge [emoji23][emoji23]kwema ndugu yangu nimelia sana hapa ccm liti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo unywe bia hapa gwamaka pub and lounge [emoji23][emoji23]kwema ndugu yangu nimelia sana hapa ccm liti
Umemsikia anko wako huku wasemavyo....Muda utaongea usisahau mzunguko wa pili unakutana na Yanga tena.
Na kwa huo uchezaji wenu mmmh hapana sehemu mtaponea.
Ukweli wa mambo ni kwamba mechi imeisha na Simba imepata alama tatu na Inamaliza mzunguko wa kwanza wa ligi ikiwa inaongoza ligi!Simba wamshukuru Metacha
nakuja mkuuNjoo unywe bia hapa gwamaka pub and lounge [emoji23][emoji23]
ulipotelea wapi ndugu?😁😁 raha sana
Achana nae huyu utamaliza wino wako bureeee.Umeshamuona akichezesha? wewe unaona kawaida?Kwa nini iwe baada ya dabi tu? Ukiitumia vizuri akili utaelewa.
Majukumu ndugu😁ulipotelea wapi ndugu?
wasalimie sana huko majuu amigoMajukumu ndugu😁
Endelea kukaza fuvu.Umeshamuona akichezesha? wewe unaona kawaida?Kwa nini iwe baada ya dabi tu? Ukiitumia vizuri akili utaelewa.
Sasa huyu na mpira wapi na wapi!?Umemsikia anko wako huku wasemavyo....
Kwa hiyo Simba anabebwa NBCPL na kule CAFCC?Sasa huyu na mpira wapi na wapi!?
Timu anazocheza nazo Simba nazo timu!?
Zile timu hata ukimuweka Fountain gate anapata point.
Halafu uje ufananishe na Tp mazembe,Mc alger na Al hilal Omdurman.
Bro unatumia ubongo wako vizuri kweli wewe!??
Yani kina Cs sfaxien na Cs constantine ufananishe na hiyo miamba kina Mazembe na Omdurman!??
Itoshe kusema akili huna,na hata sijui mitihani shuleni ulikua unafaulu vipi!Kwa hiyo Simba anabebwa NBCPL na kule CAFCC?
Una mtazamo wa kizwazwa kabisa, anyway piga kelele zote Simba tunaongoza NBCPL na kule CAFCC tuna points 6 ilhali vyura mmepoteana kote kote
Swala la kayoko lilipelekwa kwenye kamati ya waamuzi na vipindi mbalimbali vya michezo vilitangaza hili jambo na TFF mapema tu walishema wakimpa adhabu muamuzi hawatatangaza itakuwa kimya kimya so kayoko kafungiwa acha kubisha.Umeeleza maelezo mengi yasiyo na tija.
Arajiga kipindi ile faulo inafanyika alikua palepale.
Pia nimekwambia lete ushahidi wa Kayoko kufungiwa kisa mechi ya Dabi.
Talk with evidence sio kuropoka ropoka tu.
LETE USHAHIDI HAPA KUWA KAYOKO HAJACHEZESHA MECHI HADI SASA KWASABABU YA MAKOSA YA MECHI YA DABI.
Mc alger ana maajabu gani hapa afrika? Mara ya mwisho kucheza hatua ya makundi au robo au hata nusu fainal cafcl ni lini? Ana makombe mangapi ya cafcl?Sasa huyu na mpira wapi na wapi!?
Timu anazocheza nazo Simba nazo timu!?
Zile timu hata ukimuweka Fountain gate anapata point.
Halafu uje ufananishe na Tp mazembe,Mc alger na Al hilal Omdurman.
Bro unatumia ubongo wako vizuri kweli wewe!??
Yani kina Cs sfaxien na Cs constantine ufananishe na hiyo miamba kina Mazembe na Omdurman!??
Kundi la simba ni gumu kuliko kundi lako simba tangu tuanze kushiriki michuano ya kimataifa haijawahi kutokea tukacheza mechi 3 halafu timu 3 zikawa na point 6 haijawahi tokea.Itoshe kusema akili huna,na hata sijui mitihani shuleni ulikua unafaulu vipi!
Simba yupo kundi jepesi ambalo hata angecheza Fountain gate angepata point tu.
Usifananishe ubora wa timu za kundi la Simba na kundi la Yanga.
Alhilal na Tp mazembe wapo rank za juu CAF kuliko Yanga.
Pia MC alger yupo rank za juu kuliko vitimu vyako hivyo kina Constantine na Cs sfaxien.
Yanga yupo kundi gumu kama la msimu uliopita la Al ahly na Belouzdad.
Usipoelewa hapo embu kabishane na watoto wenzako.
Hao wote ni madogo kwa Simba yenye rank za juu kuliko wao...Alhilal na Tp mazembe wapo rank za juu CAF kuliko Yanga.
Bado akili huna wewe.Hao wote ni madogo kwa Simba yenye rank za juu kuliko wao...
Itoshe tu kusema 🐸🐸 bado mnajitafuta kimataifa, Endeleeni kujifunza kwa Simba baba lenu.
Aliyebuni unywaji wa supu hapo jangwani alilenga kuharibu afya ya akili kwa kila anywaye supu..Bado akili huna wewe.
Kabishane na watoto wenzako.
Unitajie mwaka ambao uliwahi kumfunga Al hilal au TP mazembe.