FULL TIME: Singida Black Stars FC 0-1 Simba SC | NBC Premier League | Liti Stadium | 28.12.2024

FULL TIME: Singida Black Stars FC 0-1 Simba SC | NBC Premier League | Liti Stadium | 28.12.2024

Kimsingi hata hili ilitakiwa kuwa goli, Metacha ana madhaifu makubwa sana kwenye mipira ya kutoka.

Mipira kama ile ya kugombania ni ya kupiga ngumi, sio kutaka kuimeza kwenye kona atakuwa anafungwa sana kama atafanyiwa pressing.
 
La
mkuu kwamba ujaona wanababaika baada ya jamaa kuuliza wamewah chambua mtu akiweka mgongo bila kuruka ni faulo
Labda kama wanababaika na hilo tukio jingne ambalo silifahamu ila hili la leo wote wameeleza wazi kuwa ilikuwa ni clear goal na hapakuwa na faulo ni uzembe binafsi wa Metacha
 
Kimsingi hata hili ilitakiwa kuwa goli, Metacha ana madhaifu makubwa sana kwenye mipira ya kutoka.

Mipira kama ile ya kugombania ni ya kupiga ngumi, sio kutaka kuimeza kwenye kona atakuwa anafungwa sana kama atafanyiwa pressing.
mkuu hili na goli yote ni batili ila kwa simba yanaonekana ni magoli halali
 
La

Labda kama wanababaika na hilo tukio jingne ambalo silifahamu ila hili la leo wote wameeleza wazi kuwa ilikuwa ni clear goal na hapakuwa na faulo ni uzembe binafsi wa Metacha
hata iyo faulo ni goli mbona refa kakataa mkuu
 
Kimsingi hata hili ilitakiwa kuwa goli, Metacha ana madhaifu makubwa sana kwenye mipira ya kutoka.

Mipira kama ile ya kugombania ni ya kupiga ngumi, sio kutaka kuimeza kwenye kona atakuwa anafungwa sana kama atafanyiwa pressing.
Kala hela nae huyoo....
Anafanya stupid mistakes makusudi
 
Back
Top Bottom