Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Leo Jumanne, Taifa Stars itakuwa dimba la Benjamin Mkapa kwa kazi moja tu kusaka ushindi dhidi ya DR Congo katika mechi ya kuwania kufuzu AFCON 2025 nchini Morocco.
Mechi hii itachezwa saa 10:00 jioni
Mpira umeanza kipindi cha kwanza na DR Congo ndiyo wameanzisha gozi.
Dakika, 2 Stars wanapata kona.
Dakika, 4 Stars wanafanya shambulizi zuri sana na kupata kona.
Dakika 6 Taifa Stars wamefanya shambulizi zuri kutoka kwa Mzize.
Dakika,12 Sammata anakosa goli hapa.
Dakika, 18 DRC wamefanya shambulizi zuri.
Dakika, 38 Mpira umekuwa kasi sana
Dakika, 39 Kibu anakosa nafasi ya wazi
Dakika, 42 Ali Salmu anafanya save nzuri na kuwaweka salama Taifa Stars.
Zimeongezwa Dakika 3 kukamilisha dakika 45 za kipindi cha kwanza.
Dakika 45 za kipindi cha kwanza zimekamilika Tanzania 0 - 0 DR Congo.
Kipindi cha pili kimeanza
Dakika,52 Taifa Stars wamefanya majaribo mawili lakini wameshindwa kutumia nafasi vyema.
Dakika, 73 DR Congo na Taifa Stars wamefanya Mabadiliko ya wachezaji
Ametoka Mudathri anaingia Mao. Kwa upande wa DRC anaingia Mayele.
Dakika 84 Mzize anatoka nafasi yake inachukuliwa na Mwalimu Hassan.
Dakika, 86 DRC wanapata goli
Dakika,93 DRC Meshakc Anawapatia goli la pili
Mechi hii itachezwa saa 10:00 jioni
Mpira umeanza kipindi cha kwanza na DR Congo ndiyo wameanzisha gozi.
Dakika, 2 Stars wanapata kona.
Dakika, 4 Stars wanafanya shambulizi zuri sana na kupata kona.
Dakika 6 Taifa Stars wamefanya shambulizi zuri kutoka kwa Mzize.
Dakika,12 Sammata anakosa goli hapa.
Dakika, 18 DRC wamefanya shambulizi zuri.
Dakika, 38 Mpira umekuwa kasi sana
Dakika, 39 Kibu anakosa nafasi ya wazi
Dakika, 42 Ali Salmu anafanya save nzuri na kuwaweka salama Taifa Stars.
Zimeongezwa Dakika 3 kukamilisha dakika 45 za kipindi cha kwanza.
Dakika 45 za kipindi cha kwanza zimekamilika Tanzania 0 - 0 DR Congo.
Kipindi cha pili kimeanza
Dakika,52 Taifa Stars wamefanya majaribo mawili lakini wameshindwa kutumia nafasi vyema.
Dakika, 73 DR Congo na Taifa Stars wamefanya Mabadiliko ya wachezaji
Ametoka Mudathri anaingia Mao. Kwa upande wa DRC anaingia Mayele.
Dakika 84 Mzize anatoka nafasi yake inachukuliwa na Mwalimu Hassan.
Dakika, 86 DRC wanapata goli
Dakika,93 DRC Meshakc Anawapatia goli la pili