the palace
JF-Expert Member
- Jan 11, 2018
- 340
- 1,025
Tunaupenda mpira lakini mpira hautupendi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni mechi nyingine inachezwa Leo pia nadhaniKuna livescore app imeniandikia tanganyika vs mazembe
cha msingi asijifunge tu!Kibu Denis anaruka ruka
Mbona hakuna mechi tbc1?WAYAHUDI WA MAPELELE NA ILOLO, MECHI ITAKUA LIVE PIA TBC1, HATUTAKI KUONA NYUZI ZA KIPUMBAVU MKIAMKA
Aulizwe aliyebeba hela za mamaMbona hakuna mechi tbc1?
Utawaweza watu! Ila ingekua Yanga na simbaUzi una mwendo wa konokono.
Kabla ya game tu unakuta mpo page ya 30 😀😀Utawaweza watu! Ila ingekua Yanga na simba
Game ngumu hii ila tunashindaLeo Jumanne, Taifa Stars itakuwa dimba la Benjamin Mkapa kwa kazi moja tu kusaka ushindi dhidi ya DR Congo katika mechi ya kuwania kufuzu AFCON 2025 nchini Morocco.
Mechi hii itachezwa saa 10:00 jioni
Mpira umeanza kipindi cha kwanza na DR Congo ndiyo wameanzisha gozi.
Dakika, 2 Stars wanapata kona.
Dakika, 4 Stars wanafanya shambulizi zuri sana na kupata kona.
Dakika 6 Taifa Stars wamefanya shambulizi zuri kutoka kwa Mzize.
Dakika,12 Sammata anakosa goli hapa.
Dakika, 18 DRC wamefanya shambulizi zuri.
Dakika, 38 Mpira umekuwa kasi sana
Dakika, 39 Kibu anakosa nafasi ya wazi
🤣🤣🤣🤣🤣Kibu, Mzize na Samata.
Wanajaribu sana.
Tuwape Muda.