Full Time: Tanzania 0- 2 DR Congo | Qualification AFCON 2025 | Benjamin Mkapa Stadium | 15 Oktoba, 2024

Full Time: Tanzania 0- 2 DR Congo | Qualification AFCON 2025 | Benjamin Mkapa Stadium | 15 Oktoba, 2024

Leo Jumanne, Taifa Stars itakuwa dimba la Benjamin Mkapa kwa kazi moja tu kusaka ushindi dhidi ya DR Congo katika mechi ya kuwania kufuzu AFCON 2025 nchini Morocco.

Mechi hii itachezwa saa 10:00 jioni


Mpira umeanza kipindi cha kwanza na DR Congo ndiyo wameanzisha gozi.

Dakika, 2 Stars wanapata kona.

Dakika, 4 Stars wanafanya shambulizi zuri sana na kupata kona.

Dakika 6 Taifa Stars wamefanya shambulizi zuri kutoka kwa Mzize.

Dakika,12 Sammata anakosa goli hapa.

Dakika, 18 DRC wamefanya shambulizi zuri.

Dakika, 38 Mpira umekuwa kasi sana

Dakika, 39 Kibu anakosa nafasi ya wazi
Game ngumu hii ila tunashinda
 
Back
Top Bottom