uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
Hata Uwanjani watu wazima tuko wachache.Utawaweza watu! Ila ingekua Yanga na simba
Wanafunzi ndio wengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Uwanjani watu wazima tuko wachache.Utawaweza watu! Ila ingekua Yanga na simba
Ameanguka bahati mbayaMzize nyeto sana
😊Tz Lolote baya liwakute...alisikika mtz asiye kua na uzalendo.Leo Jumanne, Taifa Stars itakuwa dimba la Benjamin Mkapa kwa kazi moja tu kusaka ushindi dhidi ya DR Congo katika mechi ya kuwania kufuzu AFCON 2025 nchini Morocco.
Mechi hii itachezwa saa 10:00 jioni
Mpira umeanza kipindi cha kwanza na DR Congo ndiyo wameanzisha gozi.
Dakika, 2 Stars wanapata kona.
Dakika, 4 Stars wanafanya shambulizi zuri sana na kupata kona.
Dakika 6 Taifa Stars wamefanya shambulizi zuri kutoka kwa Mzize.
Dakika,12 Sammata anakosa goli hapa.
Dakika, 18 DRC wamefanya shambulizi zuri.
Dakika, 38 Mpira umekuwa kasi sana
Dakika, 39 Kibu anakosa nafasi ya wazi
Dakika, 42 Ali Salmu anafanya save nzuri na kuwaweka salama Taifa Stars.
Zimeongezwa Dakika 3 kukamilisha dakika 45 za kipindi cha kwanza
Yani huo uzi utafunguliwa tarehe 18 mpk muda wa game page 30 game ikimalizika page 90Kabla ya game tu unakuta mpo page ya 30 😀😀
Mzize kweli wydad wanamtaka😅 angalia hata akipostiwa comment za waarabu za kutoshaHalafu badae utasikia wajinga wajinga fulani wanakwambia Wydad wametuma ofa 7 kwa Mzize lakini zimekataliwa nye nye nyee
Hatuna uwezo wa kushinda labda tukijitahidi sareHivi kweli tuko serious tunaka kushinda hii mechi 😂😀
Mpira unadunda.... Lolote laweza kutokea.Hatuna uwezo wa kushinda labda tukijitahidi sare