Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukienda Roma ishi kama WaromaFadlu....
Jezi aliyovaa Fadlu ina Nembo ya Samia😄😆😃
Rais wa Tanzania mwanamkePongezi hizi za ushindi wa Taifa Stars 2-0 dhidi ya Guinea ni maalumu kwa Rais Dkt.
na jamaa walivyo na mpira wa akIli, stars inatakiwa wacheze pira gamondi la hata kama umeshinda unatafuta tu yani nginjanginja!..😂Hatujuagi kulinda ushindi .tunachojua ni kupaki basi.
Wameambiwa watazame hahahahahMakocha wa Simba na Yanga wote wapo uwanjani
Ujima.... Kuna sababu gani jezi ya Taifa kuwa na picha ya Rais wa nchiUkienda Roma ishi kama Waroma
Msisahau waliahidiwa 500 ml na mama.
ulitaka iwekwe ya mboweFadlu....
Jezi aliyovaa Fadlu ina Nembo ya Samia😄😆😃
Hahahhaa ila watuu mnajuaa kuburudishaaaaaToka hapaaa weweee. Nipige ban uone
Pongezi hizi za ushindi wa Taifa Stars 2-0 dhidi ya Guinea ni maalumu kwa Rais Dkt.70’ Tanzania 1-0 Guinea
Jibu wanalo akina Mwana FaUjima.... Kuna sababu gani jezi ya Taifa kuwa na picha ya Rais wa nchi
Pongezi hizoKwani Azam Kulikoni
Aisee. Hiki ndicho kiwango chako Cha mwisho Cha kufikiri?ulitaka iwekwe ya mbowe