Full Time Tanzania Prisons 0 - 1 Simba SC | NBC Premierleague | Sokoine Mbeya | Oktoba 22, 2024

Full Time Tanzania Prisons 0 - 1 Simba SC | NBC Premierleague | Sokoine Mbeya | Oktoba 22, 2024

Umepost mara 3 kwa machungu mno......🤣🤣🤣🤣🤣🙌
Huku nilipo mtandao ni changamoto, ila ndio najiuliza maana Camara alimwita mara tatu, je huyu wa leo kama angekuwa Camara angemwita mara ngapi?
 
Naona yale maneno yenu mmeyameza maana Magori alitaka kuanzisha uchunguzi zidi ya Camara akizani labda ni duka, sasa sijajua kwa mtizamo wa Magori huyu kipa nae anaweza kuwa duka may be.......

Mpira mchezo wa wazi sana nazani leo mmekiona kiwango chenu halisi.
 
Huyu kipa aliyetoa boko kama angekuwa ni Camara Magori sijui angemuita mara ngapi.

Hapa ingekuwa Yanga ungesikia wamenunua, ila kama mnaujua mpira nazani mtakuwa mmekuona kiwango chenu halisi.
yes tumekuwa bora mara kumi zaidi ya msimu uliopita.
 
Kelvi Balua anatosha namba 3 sabu ya Shabalala.
MO undoa huyo Nouma na Kelvin Kijiri.
Ni kwamba hawajitambui na hawapambanii timu.
Wanacheza kama Maafisa wa B.0.T.
 
Huku nilipo mtandao ni changamoto, ila ndio najiuliza maana Camara alimwita mara tatu, je huyu wa leo kama angekuwa Camara angemwita mara ngapi?
Kabla ya kutoa shutuma na lawama unge pambana na mtandao kwanza.

Inaonekana changamoto ya mtandao kwenye eneo lako limekufanya ushindwe kuona vyema baadhi ya matukio kwenye hii mechi.

Afu kwa nfinix, itel na Tecno ishu ya mtandao kuyumba hayo ni matatizo common.
 
Kabla ya kutoa shutuma na lawama unge pambana na mtandao kwanza.

Inaonekana changamoto ya mtandao kwenye eneo lako limekufanya ushindwe kuona vyema baadhi ya matukio kwenye hii mechi.

Afu kwa nfinix, itel na Tecno ishu ya mtandao kuyumba hayo ni matatizo common.
Nipo site natafuta hela ,ila hata huku nilipo kuna shida za mtandao ila si satellite issues mechi nimeiona.

Halafu hata nikikuambia na tumia simu gani hauto amini na sipo humu kumwaminisha mtu. Ila huyu kipa angekuwa wenu leo Magori sijui angemwita mara ngapi, maana kwa akili za kiongozi wenu angesema kahongwa.
 
Back
Top Bottom