900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
che maloneNani kafunga goli? Wekeni update bhana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
che maloneNani kafunga goli? Wekeni update bhana
Kama timu haina uwezo wakuchukua kombe lolote basi angalau iwape furaha mashabaki wake kwa kuhakikisha ina pata matokeo chanya mbele ya mtani wake.. Rage aliona mbali kuwaiteni mbumbumbuYaani wewe kipimo cha ubora wa Simba ni kufungwa ama kutofungwa na Yanga[emoji2][emoji2][emoji1]
Hili nalo ni la Mzee Jakaya na Sunday Manara?
Hapa dube napo alijiangusha au,sheria inasemaje mtu wa mwisho kabla ya kipa anapocheza rafu anastahili adhabu gani?Marejeo ya picha Mbangula alionekana kajiangusha. Refa alikuwa sahihi.
ile aliyokataa refa kanyoko kwa kibu ulivaa mbao siyoHawa marefa wanawake ni shida yan! ile ilikuwa clear penati kwa Prison🚮🚮
Hii post yako baada ya mechi kadhaa inaenda kuwa ya Kihasibu.Hivi Mzize na Che Malone nani ana magoli mengi?
Ushachanganya madesa. Tunazungumzia Mbangula ama Dube?Hapa dube napo alijiangusha au,sheria inasemaje mtu wa mwisho kabla ya kipa anapocheza rafu anastahili adhabu gani?
La Kijili......lilikuwa la GSM 😀Goli la M PESA
Tuna amani. Hakuna kilichotuchukulia amani yetuKurudishia Watu wa Simba amani leo Simba ishinde walau sio chini ya bao 3.
hapa huwezi wasikia watakwambia timu ime imalikaMagori aje Tena amuite Musa mbise mara 3 maana m-pesa imesoma tiyali na wale wazee wao wajitokeze Tena waseme gsm anaharibu ligi🤣🤣
Nakuunga mkono mkuu...Simba imeimarika kwa kiasi kikubwa sana sema mashabiki wengi wa Tanzania hawajui kufanya Football analysis.
Kabisa.....Kurudishia Watu wa Simba amani leo Simba ishinde walau sio chini ya bao 3.
Pamoja mkuuNakuunga mkono mkuu...