Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
Unyama ni mwingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kayoko mwenyekiti wao.Hawa marefa wanawake ni shida yan! ile ilikuwa clear penati kwa Prison🚮🚮
Marejeo ya picha Mbangula alionekana kajiangusha. Refa alikuwa sahihi.Hawa marefa wanawake ni shida yan! ile ilikuwa clear penati kwa Prison🚮🚮
Kwahiyo ile attempt ya Ngoma Bahasha ilirudishwa au? Unasikiliza mpira RTD?Makolo hawa marefa mabibi ndo inawataka,,,na Leo golikipa wa prison wamempa bahasha angalau wawapoze mashabiki.
Nyie utopwinyo mnachekesha sana... Ligi bado inaendelea.Makolo hawa marefa mabibi ndo inawataka,,,na Leo golikipa wa prison wamempa bahasha angalau wawapoze mashabiki.
Hivi Mzize na Che Malone nani ana magoli mengi?Che Marlone
Che Malone na Dube je?Hivi Mzize na Che Malone nani ana magoli mengi?
Kati ya kibu na bacca nani ana magoli mengi?Hivi Mzize na Che Malone nani ana magoli mengi?
Che Malone na Dube je?
Yaani wewe kipimo cha ubora wa Simba ni kufungwa ama kutofungwa na Yanga😃😃😄Simba itaacha lini kuhonga magolikipa wa timu pinzani? Ndio maana ikikutana na Yanga ina shenyentwa