Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Huko mbeleni yajayo yanafurahisha. Simba inahitaji muda tu. Kwa wiki nne walizokaa pamoja na wanachofanya uwanjani Simba niSiku zote anayejua anajua tu.

Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko mbeleni yajayo yanafurahisha. Simba inahitaji muda tu. Kwa wiki nne walizokaa pamoja na wanachofanya uwanjani Simba niSiku zote anayejua anajua tu.

Umenimiss halafu unanicheka hivyo mtani 🤣🤣🤣🤣Nimekumiss🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🥹
Mmeanza makoloKapombe
Mzamiru
Shabalala
Wapo chini ya kiwango kabisa weshindwa kwenda na speed ya game kweli uwezi kushindana na uzee wakubali matokeo wastaafu Kwa heshima tu.
Andaa mbupu hizooooo☺️Niko Nafanya na Mawasiliano na Kamati ya Ufundi hapa
View attachment 3064745
tulieni mlbe dawaVery stupid Simba,acheni mzaha,acheni maggiore,acheni migogoro jengeni timu
Kaka nisikilize mimi, pale kiungo tumekatika sana.Huyu Dube mbona anataka kutukimbiza mapema jukwaani? Sijapenda
Tukutane saa 3Umenimiss halafu unanicheka hivyo mtani 🤣🤣🤣🤣
Manguruwe FC bado sana ,wajipange misimu mingine ijayo labda wafikirie 2029/2030.Walitaka kutestia kikosi kwetu dadek
Acha kujichekesha hapa 😬🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
msimu ujao Alhaji Aliko Dangote anainunua timu mtaona cha motoNguvu moya 😂
Hapo bado baadae mtakimbia nyinyi timu hamnaMnashangilia ujinga tu
Mpiraa mchezo wa wazi haudanganyi mwenye macho kaonaMmeanza makolo