Mbwa mwenyeweeeeeee...!ππ€ΈMbwa wewe , sichezi na wewe tena
Mzee Mbona unakazia Sana π€£π€£π€£A Friendly Reminder: Wale wote walioweka ahadi kuhusu mechi hii, ahadi zao zitatekelezwa. Bado dakika 45
Asanteni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Furaha tuItakusaidia nini mkuu?
Bado kikosi hakijawa timu, ila kama itaendelea hivi huko mbeleni mda wa vicheko kwa wanaSimba utakuwa wa muda mrefu mno.Hii mechi hata simba ikifungwa lakini team ipo vizuri nadhani shida ni speed kwa baadhi ya wachezaji
MangunguAndaeni mtu wa kumulaumu
Simba hii hii ya ubaya ubwelaSimba hii ya Mudi au Mangungu?
π€£π€£"Ikifika saa tatu fafadhali tusikimbiane humu" by Popoma
Wanadai Yule aliyepiga pasi ya Bao alikua offside kabla mpira haujamfikia kutoka Kwa pre assist....Uyu Refa akichezeshaga mechi za Yanga, Yanga uwa inapata tabu Sana ana maamuzi mabaya dhidi ya Yanga ata iwe Yanga anacheza na timu ndogo.
Mwenye kuelewa naomba anieleze Lile Goli lililo katakiwa tatizo ni Nini?
yaan nilitukana mpaka dari ikanichekaDube pale alifanya uzembe kudadeqqq
Huyo mtoto mpuuzi sana.Li ephen_ linajichekesha lipige spana .
Huyo Dr Restart haniwezi mimi huyoooLi ephen_ linajichekesha lipige spana .
ππππππππππππππ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£πππππππππππππππππππππA Friendly Reminder: Wale wote walioweka ahadi kuhusu mechi hii, ahadi zao zitatekelezwa. Bado dakika 45
Asanteni
Kiko ndaniKiko wapiiiiiπ€Έππ
Refa wa simba uyoUyu Refa akichezeshaga mechi za Yanga, Yanga uwa inapata tabu Sana ana maamuzi mabaya dhidi ya Yanga ata iwe Yanga anacheza na timu ndogo.
Mwenye kuelewa naomba anieleze Lile Goli lililo katakiwa tatizo ni Nini?