Kikubwa anawatesa [emoji28]Haitwi Aziz Ki, anaitwa Hamisa Ki
Sana sana huto tushabiki twa YangaA Friendly Reminder: Wale wote walioweka ahadi kuhusu mechi hii, ahadi zao zitatekelezwa. Bado dakika 45
Asanteni
πππππmmeanzaMbuzi bibi yako
Vipi kama angeokoa?Hili goli, lawama ni kwa kapombe, haiwezekani beki wa pembeni(RB, LB) ukae chini kuliko beki zako za kati(CBs)
Yani sanaHuyo mtoto mpuuzi sana.
Pamoja na Mzamiru, pale katikati Yanga wanacheza peke yaoHili goli, lawama ni kwa kapombe, haiwezekani beki wa pembeni(RB, LB) ukae chini kuliko beki zako za kati(CBs)
Simba haina timu, ina kikosi, hichi kikosi kikija kuwa timu kitasumbua kwa muda mrefu sana.Yanga wanamuunganiko na pia wanawatu boraa wengi sana.Simba wasife moyo wanatimu nzurii wamefungwa na Timu Bora.
Lugha inabadilika hapa,hawa si watoto wa 2000 jmnMnajua na timu mpyaπ π
Usitukane mamba wakati hujavuka mtoTuliwaonya msilete team uwanjani, hamsikii.
MmepigwaAhoua sijaona bado makali yake
Hapo kosa ni lazimen sio refereeUyu Refa akichezeshaga mechi za Yanga, Yanga uwa inapata tabu Sana ana maamuzi mabaya dhidi ya Yanga ata iwe Yanga anacheza na timu ndogo.
Mwenye kuelewa naomba anieleze Lile Goli lililo katakiwa tatizo ni Nini?
KukumbushanaMzee Mbona unakazia Sana π€£π€£π€£