Kabisa.Kwa mtazamo wangu nimeiona Simba mpya yenye kuweza kutumainiwa katika malengo makubwa.
Mimi nilikuwa siangalii mechi nilikuwa naingakia timu yangu imefikia wapi kwenye progress.
Simba imecheza soka safi sana tena sana japo upande wa kulia ndio umeonekana kuwa na shida kidogo hususan eneo la Kapombe.
Makolo bichwa lakoMakolo Tumewala😅
😅🤣🤣🤣🤣Kukumbushana
Pale mbele kwenye Kiungo cha mwisho kwenda Kwa forward bado kuna shida mipira haifiki inablokiwa sana... Simba mmetemgeneza nafasi lakini kupiga penetration pass ndo kisanga.... Anyway sio mbaya ila hii n derby mi siwezi ila credit Simba Hadi kwenye game za kawaida siwezi jua labda wamejitoa mhanga TuKwa mtazamo wangu nimeiona Simba mpya yenye kuweza kutumainiwa katika malengo makubwa.
Mimi nilikuwa siangalii mechi nilikuwa naingakia timu yangu imefikia wapi kwenye progress.
Simba imecheza soka safi sana tena sana japo upande wa kulia ndio umeonekana kuwa na shida kidogo hususan eneo la Kapombe.
Vigezo na masharti kuzingatiwa ,JF staffs hawatakiwi kuingia kwenye mijadala 😀 😀 😀Tusubiri mpira uishe
Kapombe Hatakiwi Kurudi vinginevyo kocha Atuambie kala Rushwa Kiasi gani Kumbakiza kapombeHili goli, lawama ni kwa kapombe, haiwezekani beki wa pembeni(RB, LB) ukae chini kuliko beki zako za kati(CBs)
Akifanya Dy/dx Gamond ataintergrateStrength ya yanga ni midfielders.. Kama kocha wa simba asipofanya dy/dx vizuri itakula kwake.
Wewe mwanetu Simba au Yanga?Tusubiri mpira uishe
Bado kisoka kafanya makosa, sababu asingekuwepo ni offside moja kwa moja.Vipi kama angeokoa?
Hivi kwanini huyu Kapombe bado anaanzishwa hizi big game.Kwa mtazamo wangu nimeiona Simba mpya yenye kuweza kutumainiwa katika malengo makubwa.
Mimi nilikuwa siangalii mechi nilikuwa naingakia timu yangu imefikia wapi kwenye progress.
Simba imecheza soka safi sana tena sana japo upande wa kulia ndio umeonekana kuwa na shida kidogo hususan eneo la Kapombe.