FULL TIME: Yanga SC 1-0 Simba SC | Semi-Final | Community Shield | Benjamin Mkapa Stadium | 08/08/2024

FULL TIME: Yanga SC 1-0 Simba SC | Semi-Final | Community Shield | Benjamin Mkapa Stadium | 08/08/2024

Kwa mtazamo wangu nimeiona Simba mpya yenye kuweza kutumainiwa katika malengo makubwa.

Mimi nilikuwa siangalii mechi nilikuwa naingakia timu yangu imefikia wapi kwenye progress.

Simba imecheza soka safi sana tena sana japo upande wa kulia ndio umeonekana kuwa na shida kidogo hususan eneo la Kapombe.
Kabisa.
 
Cookie nafanyaje nisione comments za Mashabiki wa Yanga?

Ukiwepo wewe. Una elements zote za kitopolo. Simba kapigwa kimoja unakuja kupiga ng'eng'a eti dakika 45 zimebaki.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kwa mtazamo wangu nimeiona Simba mpya yenye kuweza kutumainiwa katika malengo makubwa.

Mimi nilikuwa siangalii mechi nilikuwa naingakia timu yangu imefikia wapi kwenye progress.

Simba imecheza soka safi sana tena sana japo upande wa kulia ndio umeonekana kuwa na shida kidogo hususan eneo la Kapombe.
Pale mbele kwenye Kiungo cha mwisho kwenda Kwa forward bado kuna shida mipira haifiki inablokiwa sana... Simba mmetemgeneza nafasi lakini kupiga penetration pass ndo kisanga.... Anyway sio mbaya ila hii n derby mi siwezi ila credit Simba Hadi kwenye game za kawaida siwezi jua labda wamejitoa mhanga Tu
 
H
Kwa mtazamo wangu nimeiona Simba mpya yenye kuweza kutumainiwa katika malengo makubwa.

Mimi nilikuwa siangalii mechi nilikuwa naingakia timu yangu imefikia wapi kwenye progress.

Simba imecheza soka safi sana tena sana japo upande wa kulia ndio umeonekana kuwa na shida kidogo hususan eneo la Kapombe.
Hivi kwanini huyu Kapombe bado anaanzishwa hizi big game.
 
Back
Top Bottom