black angel
JF-Expert Member
- Jan 5, 2022
- 548
- 773
πππCookie wapige ban mashabiki wa Simba kama huyu! Wanalalamika sana wanaweza kupata heartburn
Hako kanahitaji moto. Kampelekee.Dr Restart tumpe ephen_ diazepam au lorazepam?
Sur name fernandez?Kulikuwa na Debora Mwenda RTD miaka hiyo,wana undugu?
πππππππNani kampa mkorogo Chemalone?π₯Ή
Atawezanaa?π€Hako kanahitaji moto. Kampelekee.
InongaNani kampa mkorogo Chemalone?π₯Ή
Dogo usiniquoteAtawezanaa?π€
Usinitajetaje basiiiiiDogo usiniquote
Kameshapokea bahashaHaka karefa kafala nacho.
efen hebu chukua pipo yako hiiiii
naona leo imepotea njiaa πππππ πππππ
Nitafanya hivyo Dr na nitakafuga kabisa nipe mda tu masterπHako kanahitaji moto. Kampelekee.
Sijui ndio uchawi, misimu kama miwili hivi mzamiru kaisha, lakini yupo tu, au anagawana posho na kiongozi mmoja pale msimbazi..Kabisa Mzamiru haileweki anacheza FullBack ama anacheza Midfield ama anacheza nini yaani ilimradi kakimbilia Mpira tu hovyo hovyo..
Yaani Tuna Central Midfield Mbovu Sana Huyu sikuona Haja ya Kuendelea kuwa naye kwenye Kikosi sana Mzigo tu