Sio kweliIla simba pumzi kisoda
Nilikuwa najua kitasa huwa ni beki
Huyo Pacome alikuwa anacheza winga ya kulia, baada ya kuona kule mambo yamekuwa magumu aka switch kushoto.Pacome anafundisha watu 20 uwanjan namna ya kucheza mpira
Unaenda kutoa Fernandez ambaye amekaba vizuri na bado ana energy ya kucheza.Kocha wa simba nimsenge balua amezingua muda mreefu yeye kamuacha