Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Mwamba amejitoa sana leo...Fundi haswaa...sio MbabaishajiHii kadi ya njano ya Pacome ndio inaitwa kadi ya timu, safi sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwamba amejitoa sana leo...Fundi haswaa...sio MbabaishajiHii kadi ya njano ya Pacome ndio inaitwa kadi ya timu, safi sana.
kurusharusha mabutu kichwaniKibu ameingia kufanya nini?
Uko chumba gani nije turudie zile bao 5-1Refaaaa puliza kipenga hicho, 5imba watapata bao chumbani uwanjani hawawezi
Tulia tunajenga timuRefaaaa puliza kipenga hicho, 5imba watapata bao chumbani uwanjani hawawezi
Piga baade piga baade naangalia Aziz hapa kuna kitu anafanyaUko wapi
Kojoa kwenye kopoMkojo umenibana! Siendi hadi Tuongeze goli la pili
BAdo unapumua?🤣🤣Uko wapi
Chawakurusharusha mabutu kichwani
Unaumizwa na mwiko huko nyuma unakuja kutulilia magoliNme umia sana kufikia saivi ili bidi tuwe na goal 4 sina furaha kabsa na hili na goal moja [emoji169][emoji169][emoji172]
kibu sioChawa
Nasisitiza Yanga wakipata hata goli moja nikatwe korodani.
linarudi kutoka wapiHii Sub goli linarudi
Jiangalie sana mkuukibu sio
Nenda kapete mcheleBadala mjadili namna ya kuikomboa hii nchi kutoka kwa mafedhuli, nyie mnajadili hayo matakataka yenu ya kariakoo
Soma hiyooooooUko chumba gani nije turudie zile bao 5-1