Tunamuoa yeye na mumeweHuyoooo mtotooo πΉπΉπΉ
Nipo kwa mkapa,nikukute wapi bibie?Uko wapi......
Nije tule
Hakuna kazi paleHuyoooo mtotooo πΉπΉπΉ
Simba hakuna timu hapaSimba sasa hii ni fedheha
KaoneMama aminaaaaaaaaaaaaa
Lete mbupu hizo doktaSasa Katiza Mbele Yangu unashangilia uone..
View attachment 3064812
Wewe haujui mpira nimeona uzi wako unaosema shida ya Simba ni kukosa captain ambaye angeweza kusaidi ushambuliaji.Unajipa moyo tu mkuu , ligi ya Tanzania haihitaji mtu anayejitafuta Kama Simba utapoteza mechi 1 Msimu ujao wakati tukijitafuta Tayari yanga anaenda kuwa bingwa Tatizo viongozi wanasajili kwa mihemko
Goli hazijafika Nilisema Kwamba Tukifungwa Goli kuanzia 3 nikatwe Na zitupwe mto msimbaziLete mbupu hizo dokta
Sawa Mkuu, nisamehe
BTW, siku hizi Mbona hatuoni "I perform like Mike, Anyone Tyson Jordan Jackson"
Toka kwenye kelele nikupigieNipo kwa mkapa,nikukute wapi bibie?
Haichekeshi hataππ€ͺπ€ͺMakolo leo wamecheza faulo nyingi kwenye eneo lao alikua apigi filimbi,ila mchezaji wa makolo akiguswa tu filimbi,azam tv mizinguo na kwanini hawajarudia goli la pacome na faulo aliyochezewa aziz ki ndani ya box,ila faulo ya boka waneirudia mara kibao!