Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Mtani upo π€£π€£ππππUbayaaaaaaa ubwelaaaaa....
Tumeanza kwanz na shobo za magoli mengi...
Tunakuja saaa na ubaya ubwela wa kutotufunga...
Jiandaeni kisaikolojia...
Kwa kikosi kile cha Simba next match ya derby uto mtakoma
Gombana nae mkuu huyu ni mshabiki maandazi.
Mtoto mdogo huyu, hasumbui ubongo.
ni kweli my loveWana simba acheni ujinga kabisa wa kuiponda timu tuko kwny raiti traki...
Naunga mkono hoja timu mnayo shida umaliziaji tuWana simba acheni ujinga kabisa wa kuiponda timu tuko kwny raiti traki...
Nipo kipenzi mtani...nina furaha ki ukweli japo tumepoteza...Mtani upo π€£π€£ππππ
Ubayaaaaaaa ubwelaaaaa....
Tumeanza kwanz na shobo za magoli mengi...
Tunakuja saaa na ubaya ubwela wa kutotufunga...
Jiandaeni kisaikolojia...
Polee na matokea ila timu mnayo aisee mwishoni nilikuwa natetemeka π€£ππ naona sasa hivi goli linarudiNipo kipenzi mtani...nina furaha ki ukweli japo tumepoteza...
πππView attachment 3064828tulikua mitamboni kuipambania timu
Hujaelewa point yangu mzee.dakika za nyongeza ndio penati huwa hazitolewi eti.....umecheza mpira wa wapiππ
KabisaHata shule hazfungwi kila sku. UBAYA UBWEGE
Watu wanatoka mbali sanaView attachment 3064828tulikua mitamboni kuipambania timu
Leo vipi mkuuTutaonana kesho wadau π
View attachment 3064829
Huwa najiuliza hii id ni nani huyuuπ€π€π€¨!Umbwa sana