Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Nilikwambia huyo atakimbia huyo Itakuwa kapotea taifaNamsubiri min -me nimtanie za mwisho
Melo aweke option ya voicenote,πNilikwambia huyo atakimbia huyo Itakuwa kapotea taifa
ππ€£π€£πππππππKuna mshindi wa tatu humo ππ€£π€£ππ TFF wanataka maokoto sema Leo wamezingua kukata umeme upande wa mashabiki kuleWee mtani Vincenzo Jr...kumbe na hii ngao ina mshindi wa 3....kweli Yanga mboga mboga...
Mwashambwa unakwama wapi hadi ephen awe na mzuka namna hii hapa jukwaani? Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.Kwahiyo umesikia rahaa mwenyewe?π€
Akiweka tutawanasa sana vidume wenye I'd za kike π€£πππMelo aweke option ya voicenote,π
Mimi kukandwa na wewe Raha saanaMkwe! Nimekukanda 1
ππππBleeeh bleeeh bleeh this is a kick of a dying horse.Mpira hauchezeshwi kwa wisdom
...mpira unachezeshwa kwa sheria+kanuni. Ile ni clear penalty..
.period.
Mkwe! Acha bhangiMimi kukandwa na wewe Raha saana
fresh tuuu. umepoteaaNzuri habari ya wewe
π€£πππππππBleeeh bleeeh bleeh this is a kick of a dying horse.
Kama hivi nimechoka kutype natuma zangu sautiHey tajiri Maxence Melo tuwekeee option ya voice note hapa jukwaani ππ€£ππππππππ
Ndio ndio ππKama hivi nimechoka kutype natuma zangu sauti
I never knew ..mbona ngao ya mwaka jana haikuwepo tulipowabonda,?ππ€£π€£πππππππKuna mshindi wa tatu humo ππ€£π€£ππ TFF wanataka maokoto sema Leo wamezingua kukata umeme upande wa mashabiki kule
πππππAnazingua AISEE.π€£πππ
Bado mkwe, therapy is on progress. Like three weeks remained.Mkwe! Acha bhangi
Alishakua sawa na amesepa?π€
Usiku mwema KalpanaVincenzo Jr ..@ephen jukwaa lenu...furahieni goli lenu mpk kucheee....ngoja tulinde ndoa...usiku mwema