ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Mida ya lawama bado subiriWana simba acheni ujinga kabisa wa kuiponda timu tuko kwny raiti traki...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mida ya lawama bado subiriWana simba acheni ujinga kabisa wa kuiponda timu tuko kwny raiti traki...
Ni matokeo ya bahati mbaya tu, so leo mlikuwa wenye bahati. Mlitumia vizuri kosa la timing ya mtego wa kuotea, na mkaamua matokeo.Leo nimechoka, ngoja nipumzike kesho ndio nitazifufua posts zote za shombo.
Tuone ni midomo ipi iliyofungwa…
Mdakuzi
Kwamba Mtaendelea kuleta timu.Ni matokeo ya bahati mbaya tu, so leo mlikuwa wenye bahati. Mlitumia vizuri kosa la timing ya mtego wa kuotea, na mkaamua matokeo.
Hongereni, ila kwenye ligi tutarudi imara zaidi na tutachukua points zote inshallah, maana timu tunayo msimu huu. Naisubiti derby ya ligi kwa hamu.
Ova
My luv miss you 🥰🥰🥰 Ms cee Ubaya ubwela kwani hawaogopi? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ikikaribia mwisho wa msimu tutawaambia azam wamvunje kidogo tuendelee naeDah pacome hatunae tena msimu hujao si kwamoto huu as
Ajabu.Bado tunajenga kikosi Fc.
Timu ya toka mwaka 1936 eti bado inajengwa😀😀
Safi sana hii, ila kiukweli leo Mmejitahidi sana....Mpira umepigwaKama ww hujaiona Simba na kuiogopa basi nakupa pole sana...
Maana yajayo yanafurahisha...
Asanteni Watani zangu...mmewaimarisha wachezaji wetu kuanzia sasa comfindence watakua nayo kuwakabili...
Muwe na usiku mwema...
kwny ngao ya jamii fainali nitawashabikia😄😄😄😄🙂🙂🙂😇😇😇😇
Karibuni wine na mahindi ya kuchemsha...
Na refa pia kajitahidi kuisaidia Simba isifungwe magoli mengiSafi sana hii, ila kiukweli leo Mmejitahidi sana....Mpira umepigwa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣A Friendly Reminder: Wale wote walioweka ahadi kuhusu mechi hii, ahadi zao zitatekelezwa. Bado dakika 45
Asanteni
Nasisitiza Yanga wakipata hata goli moja nikatwe korodani.
We dogo hujui kabumbu, umeona kitu gani cha ajabu pale zaidi ya kukamia, Simba ile kutoa maboko na kushindwa kufanya covering ndo kumefanya wafungwe, Ila Bora wamefungwa kwasababu makosa hayaendi kujirudia Tena.Ulitaka na leo udhalilike kwa Gori 5?
Mechi ijayo gamondi anakula rungu tatu kwenye kile kipara.Ukweli usemwe; leo Simba imecheza vizuri sana na Yanga imecheza chini sana ya kiwango, hasa kwenye umaliziaji. Nadhano Yanga itajirekebisha na Simba itaongeza makali
Sawa AmbangileDeborah ni Zawadi Mauya aliyechangamka.