Dede 01
JF-Expert Member
- May 12, 2024
- 1,182
- 2,248
Wasing'oe na viti pia.Naunga mkono hoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasing'oe na viti pia.Naunga mkono hoja
Na wasitukane watu hapa jukwaaniWasing'oe na viti pia.
Ameongea uhalisia. Wakati wa kucheka wa Simba utakaporejea utakuwa wa muda mrefu mno.Amewaandaa kisaikolojia, matokeo anayajuwa.
Ule ni uchochoro mpana sana, utaniambiaHamna mkuu usiogope.
Na wasifukuze kocha.Na wasitukane watu hapa jukwaani View attachment 3064696
Naunga mkono hoja baadae atatolewaUle ni uchochoro mpana sana, utaniambia
Kabisa wawe wapole Leo naona dube anagoli zake 4Na wasifukuze kocha.
Eti kama ya arsenal!!! Endelea kuotaHii jezi wachezaji wameshuka nayo kutoka kwenye basi ni ya moto saana, ilifaa kuwa jezi rasmi.
Sijui waliogopa nini.. Ni kama ya arsenal fulani hivi.
Ila unalinda watu anywayAhadi yako tumeipokea
Ila naona kama leo Kibu atateleza uwanjaniKabisa wawe wapole Leo naona dube anagoli zake 4
UmeanzaEti kama ya arsenal!!! Endelea kuota
Weka Vikosi mdau Admin
Ngao ya Jamii: Alhamis hii ni nusu fainali ya wababe. Saa 1:00 usiku ni Kariakoo Derby Yanga SC dhidi ya Simba SC ngoma itapigwa dimba la Benjamin Mkapa.
Hataki lawama hayupo leoIla naona kama leo Kibu atateleza uwanjani