Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Sijui kukimbia wapiWeka Vikosi mdau Admin
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui kukimbia wapiWeka Vikosi mdau Admin
HahahaKwa kikosi hiki cha Yanga cha leo kuna chura anabana puaaa, "oohh hii ni bonanza tu wala hatuichukulii kwa uzito"
Tukutane saa 3 usikuUmeanza
Wewe jamaa umeenda wapi mda unakaribia huu vikosi hauweki
Ngao ya Jamii: Alhamis hii ni nusu fainali ya wababe. Saa 1:00 usiku ni Kariakoo Derby Yanga SC dhidi ya Simba SC ngoma itapigwa dimba la Benjamin Mkapa.
SITAKITukutane saa 3 usiku
Sijui kwanini napata sana marafiki wa simba😂Mpinzani wako anaekulaza macho wazi, ila sina unazi kiivyo
Hapo kwa kapombe du! 😓
We ni Simba by nature basi tu rangi ya njano na kijani vimekunogeaSijui kwanini napata sana marafiki wa simba😂
Tunaomba na kikosi cha Wananchi. 💚💛🏆
Subiri nione kama kweli mimi ni simba by natureWe ni Simba by nature basi tu rangi ya njano na kijani vimekunogea
Anajua tu kuweka alarm aanzishe uzi afu analala na kulog out.....Weka Vikosi mdau Admin
Babu vaa miwani kikosi kishawekwaTunaomba na kikosi cha Wananchi. 💚💛🏆
Vincenzo Jr alishakituma.Tunaomba na kikosi cha Wananchi. 💚💛🏆