Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
TushamlipaWalimpe kwanza Mbwiga wa Mbwiguke mwenye msemo wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TushamlipaWalimpe kwanza Mbwiga wa Mbwiguke mwenye msemo wake.
We Hujaangalia Mpira Kumbe..Kiuhalisia Simba imezidiwa
Watashindana hapo hapo kwenye integration mpaka bingwa apatikane.Akifanya Dy/dx Gamond ataintergrate
Hiki kikosi ni cha mauaji. Hata ikitokea kikapoteza kwenye hii mechi (ingawa mpaka sasa tayari kiko mbele kwa goli moa!), hakika sitakuwa na deni na mwalimu Gamondi.
Kabisa mkuu ila huyu Nzengeli Gamondi anatakiwa amuweke kikao amkanye.hawa jamaa ilikua washakula 3
Na nduguye mzamiru yasini.Kapombe Hatakiwi Kurudi vinginevyo kocha Atuambie kala Rushwa Kiasi gani Kumbakiza kapombe
Mzaleee nimetumwa kukwambia "Mbuzi sijui kafanya nini"" nimesahauMbuzi bibi yako
Kapombe Hatakiwi Kurudi vinginevyo kocha Atuambie kala Rushwa Kiasi gani Kumbakiza kapombe
Simba wamezidiwa kila idara.Hiki kikosi ni cha mauaji. Hata ikitokea kikapoteza kwenye hii mechi (ingawa mpaka sasa tayari kiko mbele kwa goli moa!), hakika sitakuwa na deni na mwalimu Gamondi.
Ndugu yangu☺️Na nduguye mzamiru yasini.
Sahii kabisaHiki kikosi ni cha mauaji. Hata ikitokea kikapoteza kwenye hii mechi (ingawa mpaka sasa tayari kiko mbele kwa goli moa!), hakika sitakuwa na deni na mwalimu Gamondi.
Yeah!..hiki kikosi kinaleta matumaini kwa siku za usoni...tumevuka pakubwa Sana.Kwa mtazamo wangu nimeiona Simba mpya yenye kuweza kutumainiwa katika malengo makubwa.
Mimi nilikuwa siangalii mechi nilikuwa naingakia timu yangu imefikia wapi kwenye progress.
Simba imecheza soka safi sana tena sana japo upande wa kulia ndio umeonekana kuwa na shida kidogo hususan eneo la Kapombe.
Kila siku nyie ni watu wa maboresho, ni lin mtatuonesha matokeo ya investment zenuKwa mtazamo wangu nimeiona Simba mpya yenye kuweza kutumainiwa katika malengo makubwa.
Mimi nilikuwa siangalii mechi nilikuwa naingakia timu yangu imefikia wapi kwenye progress.
Simba imecheza soka safi sana tena sana japo upande wa kulia ndio umeonekana kuwa na shida kidogo hususan eneo la Kapombe.