Aibu sana!Anawavuruga kisaikolojia wachezaji wa Tabora hatimae katoa Penati ya aibu sana
Mshaanza😄😀😃refa kaacha faulo kwa kibabage
Mpuuzi huyu. Professional player kuanza kicks za wasanii wa muziki kuuza sura na malaya nilijua tu huu msimu hatoboiMmemuona Azizi Ki saizi yupo ndani na hakuna kitu anafanya.
Then akitoka nje anageuka kuwa kocha msaidizi kuanza kuwa lecture wenzake.
Anaona ni rahisi kuwaambia wenzake cha kufanya wakati yeye akiwa humo ndani anashindwa kutekeleza
dhuluma haijawahi shinda dhidi ya haki, wacha wapigwe tu ma-kanyoko fcYanga n kama wamelala
ngoja tujipange upya kipindi cha 2Mshaanza😄😀😃
Viwili sasa, ngoja tusubiri come back kama TrumpUshindi wa Yanga wa kabao kamoja kamoja kweli haunipi faraja yoyote; ni kama Yanga imeanza kuishiwa pumzi.