Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga afirika
Tabora shikilieni bombaKila la kheir Tabora FC.
FT: Young Africans 0 VS 1 Tabora FC.
Kazi aliyotumwa, anaifanya ipasavyo. Yule jamaa mfunga viatu siyo wa kumwamini. Anakula huku na huku😃😀😄😄Nimemwona Hamisa hapa jukwaani anachati huku anacheka tu
acha porojo mechi ndio kwanza zina changanya hatoboi vp sasaMpuuzi huyu. Professional player kuanza kicks za wasanii wa muziki kuuza sura na malaya nilijua tu huu msimu hatoboi
diara anageuzwa tu kama chapi kwenye frampeniDiaraaaaa kapasukaaaaa
Andamana mwenyewe [emoji23]Yanga 6 0 Tabora hutaki andamana
Hahaha..Aposto kuna muujiza huku!
Hii sio yanga😂😂Ni yanga hii au kuna nyingine
kuna timu imechukua bahasha misimu mi 3 mfululizoTulieni, tunaenda kufanya kitu na nina imani tutashinda...
Tutaanza na bahasha lakini hatutasahau sindano kidogo...
So niwahskikishie tu, ushindi ni lazima...
Ngoja ncheke kabla hamjarudisha, hwahwahwahwahwajwahwajwajws