PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Zinachanganya huku yeye anazidi kuzama?acha porojo mechi ndio kwanza zina changanya hatoboi vp sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zinachanganya huku yeye anazidi kuzama?acha porojo mechi ndio kwanza zina changanya hatoboi vp sasa
sindano 5 za moto zimewaelemea hadi leo mkuuPiga sindano mpaka kipa. Piga overdose hata kama timu itafungiwa
Haya ngoja tuonewameharibu clean sheet
sema tutaipata kwa mteja wetu mechi ya marudiano
kwa maoni yako mkuuZinachanganya huku yeye anazidi kuzama?
🤣Yanga afirika
Wazee mnamatusi kinoma
Baada ya kubikiriwa , uto kanogewa sasa ni mwendo wa kugawa tu kwa kila rika.Ila yanga kama mshangazi wa kule kigamboni tuu an msimamo zero
Siyo wa kumwamini... Anataka arudi nafasi yake😄😀😃😆Hivi si alimwita na yule zozwa akabusu kiatu chake siku yao ile.
Mwasibu za leo?Piga sindano mpaka kipa. Piga overdose hata kama timu itafungiwa
5? Labda dozi ya sindano ibustiwe mara 5sidhani sana
huyu anapigwa 5-2
HTDakika ya ngapi wakuu
Sindano hadi kocha atazipata na benchi lote la ufundi. Ni mwendo wa sindanoPiga sindano mpaka kipa. Piga overdose hata kama timu itafungiwa
Una akili Sana. Mie nawaza au aliefikisha hapo Yanga anakasirishwa na wenye maneno kuwa ameingia Kwa kuvunja katiba?Kuna timu imeanza kumchoka kocha wao mkuu?
kwamba hufahamu leo imewakosa wachezaji wangap wa kikosi cha kwanza mkuu mbona unachambua ki.mahabaYanga iliyokuwa inacheza kwenye pre season na Yanga inayocheza kwenye ligi kuu unaweza sema ni timu mbili tofauti. Kuna aibu klabu bingwa inaweza kutokea