Full Time: Yanga SC 1 - 3 Tabora United | NBC Premier League | Azam Complex | November 7,024

mkuu umeanza fatilia mpira jana tabora timu ndogo

umecheza nayo haina wachezaji 8 wa kikosi cha kwanza
Kama ningekuwa nimeanza kufuatilia mpira jana basi ningesema tabora ni timu kubwa kwa kuangalia mwenendo wao wa msimu huu tu, tabora hii hii ambayo msimu uliopita imeponea chupuchupu kushuka daraja ndio mara hii imeshakuwa timu kubwa, nasisitiza kauli yenu mlisema mna kikosi kipana na leo hamko pungufu sasa shida iko wapi leo hii beki mmoja tu kukosekana kikosi kimeflop
 
Kama.mchezo Yanga anacheza vizuri. Goli la pili limekuja wakati Yanga wanapaniki na kupanguliwa penalti ndiko Tabora walikopitia.
Na wazee wa Tanora boys wameamua kufunga mafundo! HaiweEkaniki mipira yote hii iende Kanda na penalti ipotee!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…