Nasikia mmefukuza kochaWalau leo nina uwezo wa kuandika sasa. π€£π€£
πDaah! Tabora sio watu wazuri. π
Nipo watani zangu Lakini haya mambo yapo msitusakame sana basi.
πππππ€£π€Έ
Unasemaa?!?Mayanga yatafungwa tuko hapa.
Ushindi wa Yanga wa kabao kamoja kamoja kweli haunipi faraja yoyote; ni kama Yanga imeanza kuishiwa pumzi.
.Amphibia wanaweza kuliwa kichwa
wakumfunga tabora goli nyingi ni simba siyo utopolo
Walau leo nina uwezo wa kuandika sasa. π€£π€£
Mimi nina milioni kama wanaweza kuweka stick nawapaModerator angalieni utaratibu wa kufuta huu uzi. Kama Kuna gharama za ziada nitalipa
Naangalia marudio ya hii match bado yanga wanafanya makosa yale yaleModerator angalieni utaratibu wa kufuta huu uzi. Kama Kuna gharama za ziada nitalipa
Hivi ma admin wa page za mpira wa bongo kwa nini wanaogopa jf? Au kwa sababu hakuna maokoto?Mimi nina milioni kama wanaweza kuweka stick nawapa
Ikiwezekana leo mpigwe na waarabuMimi nina milioni kama wanaweza kuweka stick nawapa